Hivi sisi watu wa mikoa ya Kusini tuliwakosea nini nchi hii?

Kusini ndipo ilipo Hazina kubwa ya taifa na lazima ilindwe. Kuweka miundombinu ni kuhatarisha Hazina hizo adim ambazo wakusini wengi hawazijui. Kuna Mafuta, gesi, dhahabu, almasi, sapphire, ruby, uranium, Helium na madude mengi. So lazima tuzilinde kwa kuacha sehem kubwa sana kuwa pori na miundombinu mibovu hadi watu wapate akili.
 
Acha kulialia, huko si nche nkapa kawajengea daraja na barabara ya lami, mbona katavi hawajapata barabara ya lami kuunganisha na tabora, kila mtu akileta malalamiko ya huko alipo patakuwa hapatoshi hapa
 
Kupatwa kwa Jamhuri
tuandamane tukamtafute mchawi wetu
 
Mkitaka muendelee;
1. Acheni ushirikina
2. Someni muuondoe ujinga
3. Anzeni kuwachagua viongozi thabiti wa kuwawakilisha na sio kuchagua chama.

Leo mkoa wa Mara alitotoka Nyerere CCM inamajimbo nadhani mawili, mengine yote ni upinzani hawakubali kumchagua mtu wa ndioo bila kuchanganya na zake.

Wamebadilika na leo wanamtaka mtu mwenyekujenga hoja sio mtu mwenye kuwahonga supu za ng'ombe vichakani.
 
Kwahiyo kuchagua upinzani ndio maendeleo !?.......kweli zakuambiwa changanya na zako !
 
Umeongea pointi tupu ila wakusini wenyewe sio waelewa mark my words wana kaujinga wa ccm ndo mama yao. Subiri 2020 utaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…