Hivi siku hizi Hakuna mwanaume asie na mtoto (singer father)

nyie hamjionii sasa kama huwezi oa single mother ila wewe na mtoto wako unataka mwanamke kigolii huoni kuwa ni ubinafsi
Ikiwa huyo singo mama ni mjane mume wake kafa nipo tayari kumuoa, ila kama mwanaume aliezaa nae yupo hai huo ni mgogoro siwezi kujiingiza maana mi napenda amani, kitu nachokilinda sana ni amani ya moyo wangu, maana mi najijua tatizo dogo tu linaninyima usingizi Je suala la amani ya maisha yangu litakuaje? Si ntagongwa na gari barabarani kwa mawazo
 
Niko apa bdo am looking for huyo binti wa kuzaa nae...... Sema sku hz mabint mnazngua mnasingzia mno watoto aani ata selewi niende tuu upadrii nkatimize ndoto

Unatakiwa uwe na akili sana… hautosingiziwa

Hivi si kuna ultrasound inaonesha mpk siku mimba imetungwa mnaibiwajee nyie acheni udhembe
 
Niko apa bdo am looking for huyo binti wa kuzaa nae...... Sema sku hz mabint mnazngua mnasingzia mno watoto aani ata selewi niende tuu upadrii nkatimize ndoto

Unatakiwa uwe na akili sana… hautosingiziwa

Hivi si kuna ultrasound inaonesha mpk siku mimba imetungwa mnaibiwajee nyie acheni udhembe
 
Nishamingo na mmoja anamficha mtoto kama nyonyo

Tena alikuwa na mtoto akakataa mimba ya bidadaa nilipata story ikabidi nimuachee
Mamdogo vipi kama huyo mtoto ilikuwa ni ajali kazini ambayo haikudhamiriwa.

Je, utaacha vigezo vingine vyote kwa ajili ya mambo yaliyopita
 
Ikiwa huyo singo mama ni mjane mume wake kafa nipo tayari kumuoa, ila kama mwanaume aliezaa nae yupo hai huo ni mgogoro siwezi kujiingiza maana mi napenda amani, kitu nachokilinda sana ni amani ya moyo wangu, maana mi najijua tatizo dogo tu linaninyima usingizi Je suala la amani ya maisha yangu litakuaje? Si ntagongwa na gari barabarani kwa mawazo

Mungu hufupa kwa kukufaa so jiandae kwa lolote
 
Unatakiwa uwe na akili sana… hautosingiziwa

Hivi si kuna ultrasound inaonesha mpk siku mimba imetungwa mnaibiwajee nyie acheni udhembe
Wewe ndo utanisaidia hili Kuna mama mmja aliolewa na jamaa mmja wakapata watoto sita... Lakin baadae wale wazaz wao kufariki wale watoto wakasema mmja wao sio wa kwao...... Na kipnd huyo mama anaolewa hakuwa na mtoto!! Na mtoto wanaemtoà sio wakwao ni first born, walipoulizwa wakadai kuwa kabla ya mama yao kufariki ndo aliwaambia hivo
 
Back
Top Bottom