Tegemea ufafanuzi Wa kina na wakutisha toka kwa wazalendo jinsi gani maneno ya "hapa kazi tu" yanameleta manufaa makubwa kabisa tofauti na hiyo "takataka" tena yasiyo na maana yoyote waliyoandika wakenya hapo kwenye vindege vyao.
Me naona Tz tuna pambana sana mbona ujaweka hile ndege imeandikwa ng'oro ngoro Dodoma ndio makao makuu ya nchi na karibu ndege zote zina vivutio vya utalii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.