Hivi serikali imekusudia tuangamie?

Hivi serikali imekusudia tuangamie?

KIRANGWA

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
207
Reaction score
46
HAPA SITAKI VYA PM WALA NAMBA NATAKA NIGUSE MASLAHI YA VIGOGO!



Ndg zangu ktk Jf wote mmekuwa mkisikia juu ya mbolea ya MINJINGU.
Kitaalam hakuna mbolea iitwayo Minjingu; hili ni jina la kijiji inapochimbwa.
Naomba nisieleze mengi bali niwape
assignment kwa kuwa wote tunatumia mtandao (internet) basi twende polepole katika hili.
1. Minjingu kitaalam inaitwa ROCK PHOSPHATE (PHOSPHATE ROCK) mbolea hii kitaalam na kupitia tafiti mbolea zote zenye asili ya rock phosphate zina Radioactive elements.These are heavy metals, e.g. cadmium (Cd), chromium (Cr), mercury (Hg) and lead (Pb), and radioactive elements, e.g. uranium (U), that are considered to be toxic to human and animal health.
Ingia google.com tafuta rock phosphate utajifunza na kugundua mengi! Sasa leo hii serikali imeipitisha kutumika nchi nzima!
2. Hizi element ni hatari kwa afya ya watu! Kuna fununu kuwa kiwanda kile cha minjingu ni mradi wa wakubwa ndo maana hili halizungumziwi. Watz tutaangamia.
Tafadhali hapa ukijulikana utapotea ghafla cha muhimu ulizeni watu wa utafiti juu ya hili! Sasa nashindwa kujua kwa nini wasiweke wazi kazi zao za utafiti juu ya mbolea hii?
3. Au basi watueleze asilimia (Percentage) ya Kila element ktk mbolea hii! Awali tumepiga kelele angalau watueleze % ya Phosphate katika Mbolea hii sasa hivi wameamua kuandika tu kwenye makaratasi wala hamna provu ya hiyo %.
Huu si umbeya atakaye bisha aweke prove hapa na mimi nitaleta document hapa itakayo umbua vyote!

Chemical analysis of potentially hazardous elements in sedimentary phosphate rocks [TABLE="align: center"]
[TR="bgcolor: #CCCCCC"]
[TD="colspan: 1"] Country
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Deposit
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Reactivity
[/TD]
[TD="colspan: 1"] P[SUB]2[/SUB]O[SUB]5[/SUB]
(%)
[/TD]
[TD="colspan: 1"] As
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Cd
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Cr
(mg/kg)
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Pb
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Se
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Hg
(µg/kg)
[/TD]
[TD="colspan: 1"] U
(mg/kg)
[/TD]
[TD="colspan: 1"] V
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Algeria
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Djebel Onk
[/TD]
[TD="colspan: 1"] High
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 29.3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 6
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 13
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 174
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 61
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 25
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 41
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Burkina Faso
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Kodjari
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Low
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 25.4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 6
[/TD]
[TD="colspan: 1"] <2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 29
[/TD]
[TD="colspan: 1"] <2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 90
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 84
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 63
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] China
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Kaiyang
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Low
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 35.9
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 9
[/TD]
[TD="colspan: 1"] <2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 18
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 6
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 209
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 31
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 8
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] India
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Mussoorie
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Low
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 25.0
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 79
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 8
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 56
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 25
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 1 672
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 26
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 117
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Jordan
[/TD]
[TD="colspan: 1"] El Hassa
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Medium
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 31.7
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 127
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 48
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 54
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 81
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Mali
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Tilemsi
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Medium
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 28.8
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 11
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 8
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 23
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 20
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 20
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 123
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 52
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Morocco
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Khouribga
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Medium
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 33.4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 13
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 188
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 566
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 82
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 106
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Niger
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Parc W
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Low
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 33.5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] <2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 49
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 8
[/TD]
[TD="colspan: 1"] <2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 99
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 65
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 6
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Peru
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Sechura
[/TD]
[TD="colspan: 1"] High
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 29.3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 30
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 11
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 128
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 8
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 118
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 47
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 54
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Senegal
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Taiba
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Low
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 36.9
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 87
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 140
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 270
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 64
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 237
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Syrian Arab Republic
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Khneifiss
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Medium
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 31.9
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 105
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 28
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 75
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 140
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] United Republic of Tanzania
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Minjingu
[/TD]
[TD="colspan: 1"] High
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 28.6
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 8
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 1
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 16
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 40
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 390
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 42
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Togo
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Hahotoe
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Low
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 36.5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 14
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 48
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 101
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 8
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 129
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 77
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 60
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Tunisia
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Gafsa
[/TD]
[TD="colspan: 1"] High
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 29.2
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 34
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 144
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 4
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 9
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 144
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 12
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 27
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] United States of America
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Central Florida
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Medium
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 31.0
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 6
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 6
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 37
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 9
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 371
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 59
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 63
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] United States of America
[/TD]
[TD="colspan: 1"] North Carolina
[/TD]
[TD="colspan: 1"] High
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 29.9
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 13
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 33
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 129
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 3
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 5
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 146
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 41
[/TD]
[TD="colspan: 1"] 19
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 1"] Venezuela
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Riecito
[/TD]
[TD="colspan: 1"] Low

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
HIVI NANI MWENYE JUKUMU LA KUWALINDA WATANZANIA?
 
!
!
inategemea na definition yako ya mtanzania....kama ni akina fulani katika system basi ni TISS, polisisiem, JWTZ, Sheikh Yahaya na kadhalika.........ila aina sie basi ni sungusungu na mgambo ambao kimsingi hawana ujuzi wa hizi mambo
 
Watu wanakufa na kuugua huko Tarime kwa kemikali za migodini na sehemu zingine nyingi tu, wanakufa wengi kwa kukosa huduma za afya ambazo kimsingi wangeweza kupata, wanakufa wakulima na wafugaji kwa kupigania ardhi wakati nyingine inauzwa kwa wawekezaji na wanakufa vijana wanaojaribu jaribu na kujikuta kwenye madhara ya heroine. Sisi ni wa kufa tu mpaka tuseme basi. Asante kwa taarifa ya muhimu ili niseme basi.
 
HAPA SITAKI VYA PM WALA NAMBA NATAKA NIGUSE MASLAHI YA VIGOGO!



Ndg zangu ktk Jf wote mmekuwa mkisikia juu ya mbolea ya MINJINGU.
Kitaalam hakuna mbolea iitwayo Minjingu; hili ni jina la kijiji inapochimbwa.
Naomba nisieleze mengi bali niwape
assignment kwa kuwa wote tunatumia mtandao (internet) basi twende polepole katika hili.
1. Minjingu kitaalam inaitwa ROCK PHOSPHATE (PHOSPHATE ROCK) mbolea hii kitaalam na kupitia tafiti mbolea zote zenye asili ya rock phosphate zina Radioactive elements.These are heavy metals, e.g. cadmium (Cd), chromium (Cr), mercury (Hg) and lead (Pb), and radioactive elements, e.g. uranium (U), that are considered to be toxic to human and animal health.
Ingia google.com tafuta rock phosphate utajifunza na kugundua mengi! Sasa leo hii serikali imeipitisha kutumika nchi nzima!
2. Hizi element ni hatari kwa afya ya watu! Kuna fununu kuwa kiwanda kile cha minjingu ni mradi wa wakubwa ndo maana hili halizungumziwi. Watz tutaangamia.
Tafadhali hapa ukijulikana utapotea ghafla cha muhimu ulizeni watu wa utafiti juu ya hili! Sasa nashindwa kujua kwa nini wasiweke wazi kazi zao za utafiti juu ya mbolea hii?
3. Au basi watueleze asilimia (Percentage) ya Kila element ktk mbolea hii! Awali tumepiga kelele angalau watueleze % ya Phosphate katika Mbolea hii sasa hivi wameamua kuandika tu kwenye makaratasi wala hamna provu ya hiyo %.
Huu si umbeya atakaye bisha aweke prove hapa na mimi nitaleta document hapa itakayo umbua vyote!

Chemical analysis of potentially hazardous elements in sedimentary phosphate rocks [TABLE="align: center"]
[TR="bgcolor: #CCCCCC"]
[TD] Country[/TD]
[TD] Deposit[/TD]
[TD] Reactivity[/TD]
[TD] P[SUB]2[/SUB]O[SUB]5[/SUB]
(%)[/TD]
[TD] As[/TD]
[TD] Cd[/TD]
[TD] Cr
(mg/kg)[/TD]
[TD] Pb[/TD]
[TD] Se[/TD]
[TD] Hg
(µg/kg)[/TD]
[TD] U
(mg/kg)[/TD]
[TD] V[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Algeria[/TD]
[TD] Djebel Onk[/TD]
[TD] High[/TD]
[TD] 29.3[/TD]
[TD] 6[/TD]
[TD] 13[/TD]
[TD] 174[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 61[/TD]
[TD] 25[/TD]
[TD] 41[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Burkina Faso[/TD]
[TD] Kodjari[/TD]
[TD] Low[/TD]
[TD] 25.4[/TD]
[TD] 6[/TD]
[TD] <2[/TD]
[TD] 29[/TD]
[TD] <2[/TD]
[TD] 2[/TD]
[TD] 90[/TD]
[TD] 84[/TD]
[TD] 63[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] China[/TD]
[TD] Kaiyang[/TD]
[TD] Low[/TD]
[TD] 35.9[/TD]
[TD] 9[/TD]
[TD] <2[/TD]
[TD] 18[/TD]
[TD] 6[/TD]
[TD] 2[/TD]
[TD] 209[/TD]
[TD] 31[/TD]
[TD] 8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] India[/TD]
[TD] Mussoorie[/TD]
[TD] Low[/TD]
[TD] 25.0[/TD]
[TD] 79[/TD]
[TD] 8[/TD]
[TD] 56[/TD]
[TD] 25[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 1 672[/TD]
[TD] 26[/TD]
[TD] 117[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Jordan[/TD]
[TD] El Hassa[/TD]
[TD] Medium[/TD]
[TD] 31.7[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 4[/TD]
[TD] 127[/TD]
[TD] 2[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 48[/TD]
[TD] 54[/TD]
[TD] 81[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Mali[/TD]
[TD] Tilemsi[/TD]
[TD] Medium[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 11[/TD]
[TD] 8[/TD]
[TD] 23[/TD]
[TD] 20[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 20[/TD]
[TD] 123[/TD]
[TD] 52[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Morocco[/TD]
[TD] Khouribga[/TD]
[TD] Medium[/TD]
[TD] 33.4[/TD]
[TD] 13[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 188[/TD]
[TD] 2[/TD]
[TD] 4[/TD]
[TD] 566[/TD]
[TD] 82[/TD]
[TD] 106[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Niger[/TD]
[TD] Parc W[/TD]
[TD] Low[/TD]
[TD] 33.5[/TD]
[TD] 4[/TD]
[TD] <2[/TD]
[TD] 49[/TD]
[TD] 8[/TD]
[TD] <2[/TD]
[TD] 99[/TD]
[TD] 65[/TD]
[TD] 6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Peru[/TD]
[TD] Sechura[/TD]
[TD] High[/TD]
[TD] 29.3[/TD]
[TD] 30[/TD]
[TD] 11[/TD]
[TD] 128[/TD]
[TD] 8[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 118[/TD]
[TD] 47[/TD]
[TD] 54[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Senegal[/TD]
[TD] Taiba[/TD]
[TD] Low[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 4[/TD]
[TD] 87[/TD]
[TD] 140[/TD]
[TD] 2[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 270[/TD]
[TD] 64[/TD]
[TD] 237[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Syrian Arab Republic[/TD]
[TD] Khneifiss[/TD]
[TD] Medium[/TD]
[TD] 31.9[/TD]
[TD] 4[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 105[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 28[/TD]
[TD] 75[/TD]
[TD] 140[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]United Republic of Tanzania[/TD]
[TD]Minjingu[/TD]
[TD]High[/TD]
[TD]28.6[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]16[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]40[/TD]
[TD]390[/TD]
[TD]42[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Togo[/TD]
[TD] Hahotoe[/TD]
[TD] Low[/TD]
[TD] 36.5[/TD]
[TD] 14[/TD]
[TD] 48[/TD]
[TD] 101[/TD]
[TD] 8[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 129[/TD]
[TD] 77[/TD]
[TD] 60[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Tunisia[/TD]
[TD] Gafsa[/TD]
[TD] High[/TD]
[TD] 29.2[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 34[/TD]
[TD] 144[/TD]
[TD] 4[/TD]
[TD] 9[/TD]
[TD] 144[/TD]
[TD] 12[/TD]
[TD] 27[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] United States of America[/TD]
[TD] Central Florida[/TD]
[TD] Medium[/TD]
[TD] 31.0[/TD]
[TD] 6[/TD]
[TD] 6[/TD]
[TD] 37[/TD]
[TD] 9[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 371[/TD]
[TD] 59[/TD]
[TD] 63[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] United States of America[/TD]
[TD] North Carolina[/TD]
[TD] High[/TD]
[TD] 29.9[/TD]
[TD] 13[/TD]
[TD] 33[/TD]
[TD] 129[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD] 146[/TD]
[TD] 41[/TD]
[TD] 19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Venezuela[/TD]
[TD] Riecito[/TD]
[TD] Low
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
HIVI NANI MWENYE JUKUMU LA KUWALINDA WATANZANIA?

mkuu hebu njoo ofisini kwetu na hizi takwimu utupe tutazifanyia kazi na wewe utakuwa mmoja wa heroes of this nation
 
mkuu hebu njoo ofisini kwetu na hizi takwimu utupe tutazifanyia kazi na wewe utakuwa mmoja wa heroes of this nation

wewe elimisha umma juu ya hili kwa njia ya mitandao kama hii! Mimi sioni fahari ya kuwa heros
 
mr kirangwa sidhani kama uko sahihi, sina ushabiki wowote wala sina maslahi yoyote ila nataka nitoe ukweli wangu kuhusu minjingu, kwanza niamini mimi nilifanya kazi Tanzania Atomic energy commission HQ arusha iko njiro wengi wanapita mionzi,tumefanya quality assurance ya pale minjingu zaidi ya mara 3 kwa kipindi mi nilikua pale,pili tumepima mionzi yaani radiation tukaona kuna hizi tunaita NORMS yaan Natural occurance radiation materials ambazo popote pale zipo,kifupi hazina madhara,tatu hii mbolea hawatoi katika miamba bali katika layers of fossils ya animals especially flamingo birds ambao miaka kama 800 hadi 1000 walipatikana kwa wingi sana katika ziwa manyara,na ndio maana hayo material yanachimbwa pembezon mwa ziwa hilo,na hakuna ubishi kwa sababu layer mbalimbali zinaonekana and the latest layer inaonesha hadi mifupa,hizi layer zilikua zinatokana na massive death ya hawa ndege.Tumejaribu pia kucheki composition ya mifupa ya ndege hao na tukalinganisha na mbolea viko sawa,ila sulphate inapungua kidogo kote kote so hawa wa minjingu wana add sulphte kwa mbolea yao.ILA SIKATAI KUWA KUNA MKONO WA MKUBWA KWA SABABU WANAMATATIZO MENGI TU KIAFYA NA WATU WANAPIGA SANA PESA PALE
 
mr kirangwa sidhani kama uko sahihi, sina ushabiki wowote wala sina maslahi yoyote ila nataka nitoe ukweli wangu kuhusu minjingu, kwanza niamini mimi nilifanya kazi Tanzania Atomic energy commission HQ arusha iko njiro wengi wanapita mionzi,tumefanya quality assurance ya pale minjingu zaidi ya mara 3 kwa kipindi mi nilikua pale,pili tumepima mionzi yaani radiation tukaona kuna hizi tunaita NORMS yaan Natural occurance radiation materials ambazo popote pale zipo,kifupi hazina madhara,tatu hii mbolea hawatoi katika miamba bali katika layers of fossils ya animals especially flamingo birds ambao miaka kama 800 hadi 1000 walipatikana kwa wingi sana katika ziwa manyara,na ndio maana hayo material yanachimbwa pembezon mwa ziwa hilo,na hakuna ubishi kwa sababu layer mbalimbali zinaonekana and the latest layer inaonesha hadi mifupa,hizi layer zilikua zinatokana na massive death ya hawa ndege.Tumejaribu pia kucheki composition ya mifupa ya ndege hao na tukalinganisha na mbolea viko sawa,ila sulphate inapungua kidogo kote kote so hawa wa minjingu wana add sulphte kwa mbolea yao.ILA SIKATAI KUWA KUNA MKONO WA MKUBWA KWA SABABU WANAMATATIZO MENGI TU KIAFYA NA WATU WANAPIGA SANA PESA PALE,
Muombeni Lema amulike huko,au tuungane tuitoe ccm mtajua mengi sana
 
mr kirangwa sidhani kama uko sahihi, sina ushabiki wowote wala sina maslahi yoyote ila nataka nitoe ukweli wangu kuhusu minjingu, kwanza niamini mimi nilifanya kazi Tanzania Atomic energy commission HQ arusha iko njiro wengi wanapita mionzi,tumefanya quality assurance ya pale minjingu zaidi ya mara 3 kwa kipindi mi nilikua pale,pili tumepima mionzi yaani radiation tukaona kuna hizi tunaita NORMS yaan Natural occurance radiation materials ambazo popote pale zipo,kifupi hazina madhara,tatu hii mbolea hawatoi katika miamba bali katika layers of fossils ya animals especially flamingo birds ambao miaka kama 800 hadi 1000 walipatikana kwa wingi sana katika ziwa manyara,na ndio maana hayo material yanachimbwa pembezon mwa ziwa hilo,na hakuna ubishi kwa sababu layer mbalimbali zinaonekana and the latest layer inaonesha hadi mifupa,hizi layer zilikua zinatokana na massive death ya hawa ndege.Tumejaribu pia kucheki composition ya mifupa ya ndege hao na tukalinganisha na mbolea viko sawa,ila sulphate inapungua kidogo kote kote so hawa wa minjingu wana add sulphte kwa mbolea yao.ILA SIKATAI KUWA KUNA MKONO WA MKUBWA KWA SABABU WANAMATATIZO MENGI TU KIAFYA NA WATU WANAPIGA SANA PESA PALE,
Muombeni Lema amulike huko,au tuungane tuitoe ccm mtajua mengi sana
 
Back
Top Bottom