mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 809
- 817
Habari Ya Usiku Wana JF hivi Scout Ya simba Sc iliangalia nini zaid kwa huyu FREDI.
HIVI KUNA MTU BADO ANASHAWISHI WATU WAMUELEWE FREDY?
Unaweza kutumia Nguvu nyingi kuwashawishi mashabiki wamuelewe Fredy ili nawewe uonekane unaujua mpira Lakini ikikumbuka magoli ya Medie Kagere,Chriss Mugalu,John Bocco,Moses Phiri na Jean Baleke unaamua kukaa kimya maana kwaambia watu kuwa Fredy ni mtambo wa Magoli ni kuukosea Heshima Mpira wetu AU watu hao unaowaambia wawe hawajawahi kuwaona wakina Kagere,Mugalu, Bocco,Phiri,Jean Baleke otherwise huyu Fredy awe kapigwa Misumari haswa.
Kufunga siyo tatizo haya Yipye alifunga, Michel Sampong pia alifunga lakini viwango vyao vilikuwa chini sana hadi kuvunjiwa mikataba yao.
Fredy Michael ana negativity nyingi sana ndani ya Pitch.kuna mda najiuliza ni kweli Scout aliyeajiriwa na Club ndiye aliona kipaji hiki?
Au coach Benchikha alikubali uwezo wa Huyu mwamba??
Yaani kuna utofauti kati ya Simba iliyokuwa inasajiri bila Scout na hii simba ya sasa inayosajiri kwa kutumia scout..
Ninauhakika Simba hii hivi karibuni kuna mahali wanakwama sana especially in Recruitment of new player
N:B.Wenye akili ya ziada wananielewa Sana
HIVI KUNA MTU BADO ANASHAWISHI WATU WAMUELEWE FREDY?
Unaweza kutumia Nguvu nyingi kuwashawishi mashabiki wamuelewe Fredy ili nawewe uonekane unaujua mpira Lakini ikikumbuka magoli ya Medie Kagere,Chriss Mugalu,John Bocco,Moses Phiri na Jean Baleke unaamua kukaa kimya maana kwaambia watu kuwa Fredy ni mtambo wa Magoli ni kuukosea Heshima Mpira wetu AU watu hao unaowaambia wawe hawajawahi kuwaona wakina Kagere,Mugalu, Bocco,Phiri,Jean Baleke otherwise huyu Fredy awe kapigwa Misumari haswa.
Kufunga siyo tatizo haya Yipye alifunga, Michel Sampong pia alifunga lakini viwango vyao vilikuwa chini sana hadi kuvunjiwa mikataba yao.
Fredy Michael ana negativity nyingi sana ndani ya Pitch.kuna mda najiuliza ni kweli Scout aliyeajiriwa na Club ndiye aliona kipaji hiki?
Au coach Benchikha alikubali uwezo wa Huyu mwamba??
Yaani kuna utofauti kati ya Simba iliyokuwa inasajiri bila Scout na hii simba ya sasa inayosajiri kwa kutumia scout..
Ninauhakika Simba hii hivi karibuni kuna mahali wanakwama sana especially in Recruitment of new player
N:B.Wenye akili ya ziada wananielewa Sana