abuu garcia
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 227
- 401
Ndo mwanamuziki wangu bora kwa tanzania
Wakuu, Leo katika pitapita zangu huko you tube nimekutana na video ya msanii Rama dee inaitwa - Kipenda roho
Aisee ni bonge moja ya rnb song
Kinacho nishangaza ni kwanini haikupewa na mpaka sasa haipewi air time ya kutosha kama video nyingine?
Basi hata ile kuzungumziwa kwenye social network sijawahi kusikia!
Tatizo nini kwa msanii huyu?
Nimeshindwa tu kuweka link ya hiyo video hapa ila ni mziki mzuri sana.
Video nzuri unaitazama mpaka nerve sinasisimuka nikakahisi JOE THOMAS amehamia bongo!!
Ndio kitu kilichonisukuma kuuliza huyu mtu aliwakosea nini watanzania? Kama yupo humu awaombe radhi aliowakosea video nzuri kama
ile haikufaa kuishia pale!!
Karibuni tujadili na maoni vilevile yanaruhusiwa huenda yatamfikia
Mkuu siku hizi Tanzania tumebakiza kizazi kinaitwa "TIMU". Sio wasugua sufuria, ma dj wala radio presenters, wote ni "timu"Wakuu, Leo katika pitapita zangu huko you tube nimekutana na video ya msanii Rama dee inaitwa - Kipenda roho
Aisee ni bonge moja ya rnb song
Kinacho nishangaza ni kwanini haikupewa na mpaka sasa haipewi air time ya kutosha kama video nyingine?
Basi hata ile kuzungumziwa kwenye social network sijawahi kusikia!
Tatizo nini kwa msanii huyu?
Nimeshindwa tu kuweka link ya hiyo video hapa ila ni mziki mzuri sana.
Video nzuri unaitazama mpaka nerve sinasisimuka nikakahisi JOE THOMAS amehamia bongo!!
Ndio kitu kilichonisukuma kuuliza huyu mtu aliwakosea nini watanzania? Kama yupo humu awaombe radhi aliowakosea video nzuri kama
ile haikufaa kuishia pale!!
Karibuni tujadili na maoni vilevile yanaruhusiwa huenda yatamfikia
Kwa hiyo unamaanisha, kila aliyeingia ugomvi na Ruge, ana mambo ya kike?Tatizo jamaa ana mambo ya kike na ndio yamesababisha apotee kwenye game,aliingilia ugomvi wa Ruge na sugu sasa walivyo kuja kupatana yeye akabaki yupo yupo na ngoma zake cloud hawazigongi!
Umemsahau Mr. Paul hapo kati, Nuru elUteam wenu unawavunja moyo wasanii wengine.
Kwa rnb bongo wakwanza ni rama dee anakuja steve then qchila then bele 9 alafu ndo hao wakwenu hata hawjulikan wanaimba aina gani ya mziki
Asante for remainderUmemsahau Mr. Paul hapo kati, Nuru el
Nimetazama hii video mpaka roho imeniuma kwanini haipewi sheshima yaka! yaani haichoshiMkuu siku hizi Tanzania tumebakiza kizazi kinaitwa "TIMU". Sio wasugua sufuria, ma dj wala radio presenters, wote ni "timu"
Chamuhimu sisi ambao bado tunatambua michango ya ma legends kama hao, ndio tuzidi kushikilia heshima zao katika tasnia ya Muziki wa hapa nyumbani. Shout out to, Rama Dee, Mr. Paul na wengineo. We Salute you forever ever.
Rama dee ndiye the Best Vocalist kwa hii East Africa..
Kiba, Chibu, Ben pol, Barnaba wote wanakaa kwa huyu jamaa! Wimbo wake wa kipenda roho aisee ni moja wa nyimbo zangu bora za muda wote kwenye Bongofleva..
Kushindwa kuhit kwa Rama Dee licha ya kuwa na kipaji cha kipekee ni kielelezo kwa wasanini wengine wafahamu kuwa, kuwa na kipaji pekee haitoshi.. Kuna mambo mengine mengi ya kuzingatia ili uweze "kuushika mtaa"..
Nifah this one is for you mama
# KipendaRoho
Rama dee ndiye the Best Vocalist kwa hii East Africa..
Kiba, Chibu, Ben pol, Barnaba wote wanakaa kwa huyu jamaa! Wimbo wake wa kipenda roho aisee ni moja wa nyimbo zangu bora za muda wote kwenye Bongofleva..
Kushindwa kuhit kwa Rama Dee licha ya kuwa na kipaji cha kipekee ni kielelezo kwa wasanini wengine wafahamu kuwa, kuwa na kipaji pekee haitoshi.. Kuna mambo mengine mengi ya kuzingatia ili uweze "kuushika mtaa"..
Nifah this one is for you mama
# KipendaRoho