Watch it, not to that extent.
Mhmm. Kwa kauli hizi za ovyo ovyo na vitisho visivyokuwa za maana ni wazi zinatia ukakasi na kinyaa kwenye taasisi kubwa kama ile ya uraisi.
Sidhani aliyopo kwenye kile kiti kama anatambua umuhimu wa kile kiti. Kile kiti sio cha kulipizia visasi,kukomoa na chuki dhidi ya wananchi wake.
Kwa mwenendo huu ni wazi kabisa tunakoelekea ni kwenye state of emergence kwa uoga wa watawala. Inatia huruma sana kwa kweli.