Hivi profession ya Nape ni nini?!

Nape kanyaga twende. Usiwasikilize hao wahuni wa CDM wanataka kukudivert maana walishajua ww ni Jembe ukiwafuata watakavyo chama kitapwaya
 
Nape kanyaga twende. Usiwasikilize hao wahuni wa CDM wanataka kukudivert maana walishajua ww ni Jembe ukiwafuata watakavyo chama kitapwaya

Ulisema HAutumii vivuli.... mbona hapa unatumia jina la gnsulwa??
 

Nape kwani wewe na maji marefu na lusinde ni ndugu??? Maana mpo mpo tu hamuelewekagi au mna ........
 
huyo hana proffession yeote ni poyoyo tu hana jipya tena wanaume wakiongea na proffession zao yeye inatakiwa akae kimya asubiri 2015 ang'olewe
 
ccm mmekusudia kutesa wakristo, unyama wote unaofanyika wanafanyiwa wakristo.NYINYI CCM NA CUF baada ya uchaguzi wa 2010 viongozi wa kuu walikuwa wanalalamika udini na viongozi wenyewe ni waislam, Lakini siku zinavyokwenda tunaona makanisa yakichomwa hamfanyi lolote, mahakama ya kadhi mnairuhusu, umasho wakifanya maandamano hamwagusi kwa kuwa ni waislam, huyo doctor kwa kuwa ni mkristo ndio maana mmemteka, na yule polisi uchwara aliyekamatwa pale muhimbili anaitwa Abeid,Hii serikali ya awamu ya nne imejikita kuliuwa kanisa,viongozi kulalamikia udini wakati wao ni wadini fulani alafu baada ya muda wa dini nyingine wanaanza kuteswa.
 
Mbona huulizi proffession ya Mbowe? Ana ofisi, gari la ofisi ya Bunge, Mshahara n.k. Mtaje daktari anaepata malipo sawa na Mbowe. Try to be more Analytical!!!!
 

Nape unachozungumza kina mantiki lakini zipo serikali unazoweza kutumia njia mbadala ya kistaarabu lakini siyo unapodai haki kwa serikali hii ya chama chako. But al in all, your days you guys are numbered very very numbered. Take it from me. Watanzania wa leo siyo wa jana. Wanatambua fika kwamba madai ya madaktari ni ya msingi na wameamua kutumia njia ya kugoma kwa sababu hawaoni utashi wa viongozi wa serikali wa kushughulikia madai yao ambayo yanawahusu hata wagonjwa wenyewe. Hasira hizo za watanzania zinaendelea kuaccumulate na mwisho wa siku zitaibukia kwenye sanduku la kura ifikapo 2015.
 
Unataka kumuajiri? Tangu lini jamii forum imegeuzwa kuwa database ya CV za watu? Please try to be of a contribution to your society.
 
Labda alisoma kozi moja na Prof. Maji Marefu!

Hivi prof maji marefu sio Mtanzania...?

Unajua kuna watu wangapi wenye elimu ya kiwango chake nchini...? Hivi mnadhani CCM ni wajinga au hawakuona hao wenye Phd wa kuwawakilisha? Na hii ndio sababu CCM inarudi madarakani kila uchaguzi unapofanyika wanajua kucheza karata zao na wanajua siasa safi na chafu pia,nyie mmekazana kuaminisha watu kuwa upinzani na hasa Chadema ni kwa ajili ya wasomi, ni makosa makubwa ndio maana hata 2015,CCM itarudi tena na mtabaki kubishana na kuoneshana nani anajua kubishana kuliko mwingine...
 
Hivi prof maji marefu sio Mtanzania...?

Unajua kuna watu wangapi wenye elimu ya kiwango chake nchini...? ........

Walimu wako wanapata/walipata shida sana kukufundisha. Rudia kusoma comment yangu. Nape ameulizwa Professional yake ni nini, katika majibu yake ili la Professional hakulijibu. Na kama unataka kuiona CV ya Prof. nenda kwenye hii link Parliament of Tanzania
 

ivi wewe nape ni nani katika taifa hili? Kusoma kwako kunatuhusu nini sisi watanzania???
 
Unahakika na usemayo?!!?? Unawajua waliomteka na kumtesa Ulimboka?! Tuje kuchukua ushahidi?! Kwanini tusiamini kuwa mmefanya hivyo nyie kwasababu za kisiasa?!! Mwogopeni Mungu!! Uzuri hakuna siri soon itajulikana!!

Better
to remain silent and be thought a fool than to speak out and remove all doubt.
 
what i need from you is short answer ,level of your education and if youneed my phone no is +447787356464 nitaona ujasiri wako ukinipigia tuongee
 


Nadhani wa kwako ndio waliopata shida,nimemaanisha nilichosema,Nape hajataja proffession ukamkejeli kwa kumuweka kundi moja na maji marefu,kama ambavyo anakejeliwa na kila mtu ambayo ni makosa anawakilisha kundi kubwa sana la watanzania.
 

Kweli wewe hamnazo, jibu swali la msingi taja professional yako acha blabla!

 
hivi unafikiri dr. ulimboka hakuliwa tigo? hahaha, walimla tigo kabla hawajamngóa kucha na meno.....kaliwa tigo yule, hana bikira tena ya tigo kwa kimbelembele chake. nampa pole.
 

mwambie huyo gamba anayeji ita msomi wakati hata kutumia common sense hawezi...................
 

mwambie huyo gamba anayeji ita msomi wakati hata kutumia common sense hawezi......................

za mwizi ni arobaini kaka afu naona ndo mmebakiza Siku 2........
 
Mbona huulizi proffession ya Mbowe? Ana ofisi, gari la ofisi ya Bunge, Mshahara n.k. Mtaje daktari anaepata malipo sawa na Mbowe. Try to be more Analytical!!!!
Madaktari bingwa wa nalipwa kwa dola ndugu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…