Miaka hiyo kipindi nasoma ingawa sikusoma "ungwini" lakini nilisikia mangwini enzi hizo wakisema kuna Profesa Baregu anajua kujenga hoja.
Nilijua Profesa Baregu alikuwa CHADEMA lakini hoja yangu ni kuona CHADEMA inaonyesha wazi umuhimu wa kuwatumia watu kama Profesa Baregu.
Kwa uelewa wangu mdogo ninaamini moja ya majukumu ya Katibu Mkuu wa chama ni kuongoza mwenendo wa chama.
Chama hakiwezi kuendeshwa kwa kila mtu anachokifiri kwa ufikiri wake anasimama kwenye majukwaa au vyombo vya habari na kusema hicho na sasa iwe kazi ya chama kutetea hoja wanachama wanazosema.
CHADEMA kwa sasa wanaonekana kutokuwa na mpishi jikoni, watoto wakitoka mara utamuona anatafuna maandazi barabarani, yule akitoka anakula mihogo ya kutafuna n.k
Chama cha siasa unawezaje katikati ya uchaguzi unatoa matamshi makali kwa imani na ni mtu zaidi ya mmoja
Chama cha siasa unawezaje kuchalenji good performance kwa vitu vinasound kama jokes " mfano atapigiwa kura na miradi"
Chama bila kuwa na think tank ya kutazama sera za chama, mwelekeo wa siasa zetu na kutoa gavana kwa wananchama kuwa tunakwenda kwa mtizamo huu.
Hata akitokea mmoja akapotoka basi chama kinatoka kuomba radhi na kunyoosha maneno bila kumfedhehesha msemaji lakini kwa staili ya kulinda heshima ya chama.
Nilijua Profesa Baregu alikuwa CHADEMA lakini hoja yangu ni kuona CHADEMA inaonyesha wazi umuhimu wa kuwatumia watu kama Profesa Baregu.
Kwa uelewa wangu mdogo ninaamini moja ya majukumu ya Katibu Mkuu wa chama ni kuongoza mwenendo wa chama.
Chama hakiwezi kuendeshwa kwa kila mtu anachokifiri kwa ufikiri wake anasimama kwenye majukwaa au vyombo vya habari na kusema hicho na sasa iwe kazi ya chama kutetea hoja wanachama wanazosema.
CHADEMA kwa sasa wanaonekana kutokuwa na mpishi jikoni, watoto wakitoka mara utamuona anatafuna maandazi barabarani, yule akitoka anakula mihogo ya kutafuna n.k
Chama cha siasa unawezaje katikati ya uchaguzi unatoa matamshi makali kwa imani na ni mtu zaidi ya mmoja
Chama cha siasa unawezaje kuchalenji good performance kwa vitu vinasound kama jokes " mfano atapigiwa kura na miradi"
Chama bila kuwa na think tank ya kutazama sera za chama, mwelekeo wa siasa zetu na kutoa gavana kwa wananchama kuwa tunakwenda kwa mtizamo huu.
Hata akitokea mmoja akapotoka basi chama kinatoka kuomba radhi na kunyoosha maneno bila kumfedhehesha msemaji lakini kwa staili ya kulinda heshima ya chama.