jamani hali ya hewa si nzuri kwenye mashirika haya ya hifadhi ya jamii rushwa zinazotembezwa kwa ajiri ya ajira utashangaa mfano halisi ni nssf jamaa yangu mmoja kaniambia kama nina laki 8 nitapata job au nijicomiti kuachia mishahara miwili. Sasa mie nipo tayari kutoa ushirikiano kwa takururu sijari kukosa kazi nchi hii ni nchi ya vimemo ?