my essence kula misosi migumu sion kama ni sifa ya show ya kibabe...tumekariri mistari ya isack ndodiSidhan hapa kama wanaongelea wazungu
my essence kula misosi migumu sion kama ni sifa ya show ya kibabe...tumekariri mistari ya isack ndodiSidhan hapa kama wanaongelea wazungu
MI pizza baga ,soseji vyote siliiiiii na Sijawah pata hamu, nilionja vyote vikanishindaa
Acquired taste. Upendo unakuja baada ya kujenga mazoea Kama bia. Chungu na mwanzo tunakunja uso, mwisho wa siku bila bia usingizi hauji.Habari yenu Wakuu,
Katika vyakula vinavyoongelewa na watu wengi ila mimi sielewi, ni hiki chakula kinaitwa Pizza. Hivi piza ina nini cha ziada? Nalijaribu kula mara sita sehemu tofauti hapa Dar, nikagundua pizza sio chakula ambacho kinanifaa. Ni chakula cha hovyo kwangu wala siwezi kuwa na hamu nacho.
View attachment 470203
Hivi ni nini kinawafanya Mpende Pizza hadi mnashindwa kulala?
Naomba mnambie pizaa ina nini hasa hadi iwateke akili.
Mimi mwenzenu napenda Burger. Mabaga Mabaga ndo mwake. Nakula hadi najilamba vidole.
Halafu niwe na Pepsi bariiidiiii...acha kabisa.
View attachment 470207
View attachment 470208
Napenda Burger
Bila shaka nyie ni wafanyakazi wa PEPSI (SBC) na mnataka kutuaminisha na kutulazimisha kuaamini kwamba hakukuwa na uwezekano wa kucomment humu bila ya kuandika hilo jina la PEPSINajua kabisa hayo sio mambo yako, nilivyosikia tu PEPSI ninakukumbuka nikataka ni ku PM tukapige PEPSI nikawaza ile offer uliyoitoa ya mwaliko wa Valentine nikajua tu tayari wajanja wameshawahi offer. Uliisifia sana PEPSI tena very specific ile yetu ya TZS 600/=.
Bila shaka nyie ni wafanyakazi wa PEPSI (SBC) na mnataka kutuaminisha na kutulazimisha kuaamini kwamba hakukuwa na uwezekano wa kucomment humu bila ya kuandika hilo jina la PEPSI
We figganigga, umenikumbusha wakat nasomea Upadri nchini Uholanzi (1999 - 2004).
Ebana masista wa pale Amsterdam Cathedral walikua wanatengenezea mipiza mitamu hiyo... Unaweza kufa.
Maparage Ndio nnMie binafsi sipendagi hiyo midude ya kidhungu.!
Hasa hiyo mivyakula inayopakwa mafuta(blue band)
Au kupaka ile midude inayofanana na makamasi au makohozi mazito.
Huwa nikiiona tu najihisi kichefuchefu..!
Mie zangu chapati,bagia,vitumbua,maandazi,viazi,mihogo,magimbi,maparage, nk.
Sio hiyo mivyakula imepakwa midawa ya mswaki.!
Tena mwingine anachukua mkate anapaka midude flani kama mkate kachambia baada ya kunya.!
Mie silagi huo uchafu wa wadhungu.!
Hakuna mwanaume asiekula papuchi wewe..
Papuchi tunakulaga ile kisela lakini... Kwa siri sana.
mapadri mnaruhusiwa kupiga punyeto..?najiwekea njia nzuri kwenda mbinguni kwa baba. na sio motoni.
Yummy
Peperoni...
bora umesema kweli vipi mkuu ninaweza kupata sistaHakuna mwanaume asiekula papuchi wewe..
Papuchi tunakulaga ile kisela lakini... Kwa siri sana.
Najua kabisa hayo sio mambo yako, nilivyosikia tu PEPSI ninakukumbuka nikataka ni ku PM tukapige PEPSI nikawaza ile offer uliyoitoa ya mwaliko wa Valentine nikajua tu tayari wajanja wameshawahi offer. Uliisifia sana PEPSI tena very specific ile yetu ya TZS 600/=.
Na wale wa st kayumba tupeni uzoefu wenu tafadhari hata kama ulikuwa wa kuiba mahindi na mbuzi za majirani na shule mlizosoma.Kwa wale tulio kwenda kusoma usa, Pizza Hut, papa John's, domino's pizza, na little ceaser ndio zilikuwa restaurant zetu.
I miss USA.
Mh! unanitafutia ugomvi na Nyani Ngabu