jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari za wakati huu ndugu zangu...
Kiukweli sisi wanaume tunakutana na mambo ya ajabu sana kwa wanawake. Huyu mwanamke alinidanganya yeye ni bikra kabisa cha kushangaza alipo kuja geto siku moja nikajisemea moyoni hapa hatoki bila kumla na akikataa bora mahusiano yaishe kabisa kuliko aingie geto na atoke kirahisi haiwezekani kabisa.
Katika purukushani za hapa na pale na kujifanya anazo aibu aibu za hapa na pale japo niligundua anaigiza igiza alikubali kutanua mapaja na kufanikiwa kumuingilia kimwili, aisee alijifanya anaumia ili nione labda ni bikra kumbe hakuna kitu mkuyenge uliingia kiulaini sana bila kukutana na changamoto zozote zile yani nikama unamwaga maji, na hakuna cha damu wala chochote kile wanaume wenzangu, aisee shimo lilikua kubwa ndugu zangu japo sikumwambia chochote nilijipigia zangu mzigo baadae akaondoka nasikumwambia niliyo jionea kwake wala nini nilikaa kimya tuu kabisa.
Cha kushangaza zaidi yeye baada ya muda kidogo toka aondoke akanitumia mesage nimemvunja bikra na mimi sikumjibu nilijifanya sijaona text yake na nikampotezea kimnya na kujisemea moyoni hivi huyu ana nichukuliaje mimi.
Kiukweli sijui kanichukuliaje mpaka anidanganye hivi. Yaani nawaza mpaka akili inatetemeka ndugu zangu nimejaribu kuipooza kwa kupiga demu nyingine na kunywa pombe kali ni sahau hili lakini kila nikikaa nakumbuka sana hili jambo, hawa wanawake hawa sijui wanashida gani.
Hebu mwenye uzoefu na hili aweke hapa wakuu...
Kiukweli sisi wanaume tunakutana na mambo ya ajabu sana kwa wanawake. Huyu mwanamke alinidanganya yeye ni bikra kabisa cha kushangaza alipo kuja geto siku moja nikajisemea moyoni hapa hatoki bila kumla na akikataa bora mahusiano yaishe kabisa kuliko aingie geto na atoke kirahisi haiwezekani kabisa.
Katika purukushani za hapa na pale na kujifanya anazo aibu aibu za hapa na pale japo niligundua anaigiza igiza alikubali kutanua mapaja na kufanikiwa kumuingilia kimwili, aisee alijifanya anaumia ili nione labda ni bikra kumbe hakuna kitu mkuyenge uliingia kiulaini sana bila kukutana na changamoto zozote zile yani nikama unamwaga maji, na hakuna cha damu wala chochote kile wanaume wenzangu, aisee shimo lilikua kubwa ndugu zangu japo sikumwambia chochote nilijipigia zangu mzigo baadae akaondoka nasikumwambia niliyo jionea kwake wala nini nilikaa kimya tuu kabisa.
Cha kushangaza zaidi yeye baada ya muda kidogo toka aondoke akanitumia mesage nimemvunja bikra na mimi sikumjibu nilijifanya sijaona text yake na nikampotezea kimnya na kujisemea moyoni hivi huyu ana nichukuliaje mimi.
Kiukweli sijui kanichukuliaje mpaka anidanganye hivi. Yaani nawaza mpaka akili inatetemeka ndugu zangu nimejaribu kuipooza kwa kupiga demu nyingine na kunywa pombe kali ni sahau hili lakini kila nikikaa nakumbuka sana hili jambo, hawa wanawake hawa sijui wanashida gani.
Hebu mwenye uzoefu na hili aweke hapa wakuu...