katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Kheee... kwa hiyo wote tumeyafanya hayo kisa mwanaume mmoja kafanya..?? Haya turudi kwenye yale ya AMBARUTI... tukulaumu na wewe?
Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu.
Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua .
Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu uhai kisa ushenzi tu
Na hii shida ni kwamba unaolewa na limbukeni na watu ambao akili hakuna
Ila wanaume mnachosha kabisa.
Simmezidi?Mbona unatuhukumu wanaume wote as if ni wote tumefanya huo ujinga wa mtu mmoja?
Sawa ila usifikie hatma yakusitisha uhai wa mtu.Chanzo cha matatizo yote duniani pamoja hilo NI MWANAMKE?
Mmezidi acheni kuangalia movie.Kheee... kwa hiyo wote tumeyafanya hayo kisa mwanaume mmoja kafanya..?? Haya turudi kwenye yale ya AMBARUTI... tukulaumu na wewe?
Siku nyingine ukishaangalia video kama hizo kunywa maji, tulia vizuri ndio upost, kukurupuka kubaya
Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu.
Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua .
Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu uhai kisa ushenzi tu
Na hii shida ni kwamba unaolewa na limbukeni na watu ambao akili hakuna
Ila wanaume mnachosha kabisa.
Wala sio hivyoo ukweli ni huu ukiona ndoa imekushinda ivunje endelea na ubachelor.Siku nyingine ukishaangalia video kama hizo kunywa maji, tulia vizuri ndio upost, kukurupuka kubaya
Simmezidi?
Ukimshindwa mtu mwache.
Ila hii hali imetisha sana.Sasa usituhukumu wote kwa kosa la mmoja wetu
Mkiambiwa ukweli ni mbaya au??Halafu usitupandishie sauti hujui kama unaongea na wanaume
Nadhani tulifanya makosa kuwaruhusu muende shule kujifunza kusoma na kuandika embu ona sasa mnatutukana mtandaoni
Mkiambiwa ukweli ni mbaya au??
Ila hii hali imetisha sana.
Kila siku nyie mnaua
Ndio hivyo ipo ila mnajitetea sana kushikwa ni ngumu.Tufunge Me wote basi kama tunaua sheria si ipo