Tebajanga
Member
- Sep 14, 2011
- 68
- 102
Siku hizi ulimwengu umebadilika, tupo katika teknolojia kwa sana! Hizi njia za kubandika matangazo kwenye miti naona ishapitwa na wakati!
Sasa katika mitandao ndo bora zaidi, na nimefanyanya uchunguzi nimeona kuna jamaa wanaitwa JigambeAds .
Je wengine mnaowafahamu ni nani?
Sasa katika mitandao ndo bora zaidi, na nimefanyanya uchunguzi nimeona kuna jamaa wanaitwa JigambeAds .
Je wengine mnaowafahamu ni nani?