Tatizo wanaofatilia sana mziki kwasasa ni hao gen Z, ambao kwa hizo old school bongo flava wanaona ni nyimbo za kizee hawazipendi zimepitwa na wakat, na wanaopenda hiyo miziki ni watu ambao wapo busy na maisha yao, mziki tena sio jambo la maana sana kwao hawafatilii kivile (ufatiliaj ni mdogo). Mziki kwa sasa ni biashara na wateja wakubwa wanaofatilia sana mziki huko youtube na kwenye platfom mbalimbali ni hao gen Z kizazi ambacho hakipend hizo bongo za zaman! Ushapata jibu kwann hao wakongwe wanajitahd kubadr stail ya uimbaj kuendana na soko la wahtaj