Hivi ni ugonjwa au kitu gani?

Hivi ni ugonjwa au kitu gani?

sokwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
2,022
Reaction score
1,065
Yaani kuna watu ukiongea nao mate yanawatoka sana kila anavyozidi kuongeza speed ya maongezi! Ivi hawajijui? Dah inakera sana halafu kila ukijaribu kuongea nae kwa umbali atakusogelea tu! Aaaagrh badilikeni bana.
 
Watoa povu wa ccm hao

Wanarusha mvua balaa!!

Domo linanuka kama kavaa sox mdomoni

Na ya kalenga tena ndio mipovu utashudia sasa teh!
 
mostly ni wanaume.... sijawahi ona mwanamke akirusha particles za mate wakati akiongea..
 
Yaani kuna watu ukiongea nao mate yanawatoka sana kila anavyozidi kuongeza speed ya maongezi! Ivi hawajijui? Dah inakera sana halafu kila ukijaribu kuongea nae kwa umbali atakusogelea tu! Aaaagrh badilikeni bana.

images
 
Uwe unatembea na mwavuli
Ukiona mvua imeanza kunyesha unaanza kujikinga.
 
yani wanaume wengi wana tabia kama hii
wao wakiongea mpaka wakusogelee na mimate
yao inawatoka mdomoni utadhani mvua ya radi kubwa
wajirekebishe kabisa wanaume inakera sana
 
aise nna jamaa yangu mmoja anapenda sana kuhadithia vitu kwa kifupi ni mtu wa stori,halafu haka kaugonjwa anako basi unavumilia tu !ni ngumu kumuambia kwani anajua tatizo lake sana sana ujifanye unapiga simu ukirudi unasimama zako kwa mbali kidogo,ila kama mko wawili tu ni kasheshe
 
Back
Top Bottom