nachasudwa
Member
- May 17, 2015
- 72
- 34
Jamani naomba wataalamu na mlojaliwa hekima mnisaidie walau niishike basi, maana naona nyota nahisi mpaka mwisho naweza kupata tano.
Ukitaka kufanikiwa kuwa na roho mbaya
ukitaka kufanikiwa kuwa jambazi mkuu
Tafakari siku ina masaa 24 !! anzia usiku wa manane nyanyuka ufanye ibada kwa Muumba wako... Anzia Alfajiri pasuwa kichwa(fikiria mbinu)... Asubuhi changanya hatuwa fuata ulichopanga kukifanya kwa ufanisi...mchana endeleza jihudi ya hiyo kazi ukikamilishe...ifikao alasiri pumzika baada yahapo jipange kesho utaanza na nini tena!!Jamani naomba wataalamu na mlojaliwa HEKIMA mnisaidie walau niishike basi.maana naona nyota nahisi mpaka mwisho naweza kupata tano.
Tafakari siku ina masaa 24 !! anzia usiku wa manane nyanyuka ufanye ibada kwa Muumba wako... Anzia Alfajiri pasuwa kichwa(fikiria mbinu)... Asubuhi changanya hatuwa fuata ulichopanga kukifanya kwa ufanisi...mchana endeleza jihudi ya hiyo kazi ukikamilishe...ifikao alasiri pumzika baada yahapo jipange kesho utaanza na nini tena!!
Kwa mukhtadha huo utakuwa ushafunguwa milango ya riziqi tosha !!!
God bless you!!
Yupo mtoaaji RIZIQi ...anakungoja sana 24/7.... ni wewe tu jipinde na ulizia !!!!mimi rizki yangu imekata na sifanyi hata moja kati ya hayo na wala sina hata kazi..ngoja nijaribu mkuu
Jamani naomba wataalamu na mlojaliwa hekima mnisaidie walau niishike basi, maana naona nyota nahisi mpaka mwisho naweza kupata tano.
Mpendwa, Muumba katupa mikono miwili tumia mkono mmoja uishike akiba yako vyema...., na tumia mkono wa pili utafute ingine ili uongeze kipato !!!Jamani naomba wataalamu na mlojaliwa hekima mnisaidie walau niishike basi, maana naona nyota nahisi mpaka mwisho naweza kupata tano.