Hivi ni nani chanzo? Mwanaume au mwanamke?

Hivi ni nani chanzo? Mwanaume au mwanamke?

Miss Kyalla

Senior Member
Joined
May 13, 2019
Posts
168
Reaction score
135
Wakuu zamani kulikuwa hakuna haya mambo ya kuonjana onjana, ilikuwa hata mkipendana mwanaume haombi mpaka akuoe au wazee wanaenda nyumbani kwa binti kutoa taarifa wamempenda binti fulani process zinaanza unaoleea. Hata mama zetu hapo awali walivaa vimini vya juu ya mapaja na kutembea bila shaka mpaka makanisa yalipokataza na kusema ni bora suruali zivaliwe ndio wanawake walipoanzia kuvaa siruali, pamoja na hayo yote walikuwa hawafanyi mapenzi hata wakiwa disco.

Je mchawi ni nani alianza kuonjwa akamuacha mwenzie hadi leo ametuachia balaa relation ikianza tuu lazma mwanaume aanze kuomba kwa kigezo cha kuogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Bado nauliza ninani mchawi aliesababisha haya yote mpaka saivi tunapata tabu kupata wenzi wa maisha, mi natamani dunia irudi nyuma tuwe kama zamanii
 
Tatizo lako wewe ni dogo tu, unashindwa kutofautisha wakati uliopita na wakati unaondelea halafu sio kweli kwamba zamani watu walikuwa hawaonjani hebu jaribu kumuuliza hata baba yako, walikuwa hawaonjani kweli?

Zamani watu walikuwa wanaonjana sana, haya tunayoyafanya sisi ni kama marudio tu, isipokuwa wenzetu walijua kuficha uovu wao na mapenzi waliyachukulia kama kitu cha thamani.

Zamani, watu mkikutana mkaonjana inabaki kuwa siri yenu na uhakika wa kuishi pamoja ni 100%

Leo hii, watu mkikutana mkaonjana, kesho lazima tujue kumbe J ana **** kubwa, alaah kumbe B ana kibamia. Yes hayo ndio maisha yetu halafu mnaweza kuonjana hata kila siku, lakini uhakika wa kuishi pamoja ni 2%
 
Zaman mwanamke 15-20 ashaolewa lakini kwa sasa 30 ndo anaanza kupata uwezekano wakuolewa muda wote huo alikuwa shule na mwanaume ni 30+ ndo mipango imekaa powa anaweza kuoa wakati zamani anaanza tu kubalehe anapewa mke sasa ataanza kuonja onja vip? Hata akionja onja tayari ni mume wa mtu au watu,hivi kukaa mpaka miaka 30+ bila kugusa ni rahisi kweli kwa dunia hii ya utandawazi ambayo mambo mengi yapo wazi,
 
Wengine wanaomba wao kuonjwa,msitulaumu wanaume tu....wanasema wanaangalia bamiality kwanza
 
Watu wa zamani walikuwa wanajipaka mafuta ya ng'ombe ndio maana walikuwa hawavutii,lakini kwa sasa ukiwa mbali na binti kwa mita 30 tu,unahisi harufu ya uaridi na mwishowe unashawishika.
 
Back
Top Bottom