Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Mimi ni wakati wowote tu nikijisia namwambia mwenzagu na libeneke linaendelea kama kawa. Lakini kuna wataalam wanasema upo muda wake muafaka. Wengine mnasemaje?
Asubuhi kabla hujakwenda kazini:sick: :sick: