wee hujui tu hilo.....
wee hujui tu hilo.....
Kasha umia huyo msaaidieni, yeye anavuta tu mkono anaona kapata mdondo kumbe wapi!! Pole ndugu yetu,
KULA VIZURI,
LALA VIZURI
UENDELEE KUWA HAI
SIKU UKIFA
TUITWE JUJE TULE, TUKUSAHAU.
Kuna baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wamesambazwa katika baadhi ya vyuo wanaitwa mama salma eti waadhilika wanalipiwa ada na salma kikwete nimeuliza nikaambiwa ni kweli sasa naomba udhibitisho nawasilisha