Hivi ni kweli?

Hivi ni kweli?

Safre

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
273
Reaction score
36
Kuna baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wamesambazwa katika baadhi ya vyuo wanaitwa mama salma eti waadhilika wanalipiwa ada na salma kikwete nimeuliza nikaambiwa ni kweli sasa naomba udhibitisho nawasilisha
 
Kasha umia huyo msaaidieni, yeye anavuta tu mkono anaona kapata mdondo kumbe wapi!! Pole ndugu yetu,

KULA VIZURI,
LALA VIZURI
UENDELEE KUWA HAI
SIKU UKIFA
TUITWE JUJE TULE, TUKUSAHAU.


Jamani, sikujua kuwa humu kwenye jamvi kuna watu wanaoweza kuthubutu kuandika maneno haya. Tunaonekana wasomi, wenye uelewa mzuri na uwezo wa kuirekebisha jamii. Kama mawazo ya wengine ni haya, basi ipo kazi
 
Kuna baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wamesambazwa katika baadhi ya vyuo wanaitwa mama salma eti waadhilika wanalipiwa ada na salma kikwete nimeuliza nikaambiwa ni kweli sasa naomba udhibitisho nawasilisha

Unamaanisha nini kwenye nyekundu?
 
Back
Top Bottom