ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Ndugu zangu sihitaji ushabiki na mihemko ya kisiasa, nahitaji mawazo chanya yatakayowastua watawala na kuwaonyesha muda unavyokwenda zaidi ya waliyotuahidi.
Ukimsikiliza Waziri wa Viwanda Bwana Charles Mwijage, utadhani yuko kwenye kampeni hataki kuamini kama yeye ndo Waziri na tayari anapaswa kuwa kwenye utekelezaji. Anaongea maneno mengi kuzidi mipango aliyo nayo.
Ananikumbusha mwanamziki mmoja aitwaye Shabba Ranks. Alikuwa na uwezo mkubwa akiwa stejini lakini aliposhuka tu anasahau yote aliyokuwa anaimba.
Je Waziri huyu anajua wajibu wake? Na kama hajui viwanda vitapatikanaje na muda ndo huo 2020 ishakaribia?
Tujadili.
Ukimsikiliza Waziri wa Viwanda Bwana Charles Mwijage, utadhani yuko kwenye kampeni hataki kuamini kama yeye ndo Waziri na tayari anapaswa kuwa kwenye utekelezaji. Anaongea maneno mengi kuzidi mipango aliyo nayo.
Ananikumbusha mwanamziki mmoja aitwaye Shabba Ranks. Alikuwa na uwezo mkubwa akiwa stejini lakini aliposhuka tu anasahau yote aliyokuwa anaimba.
Je Waziri huyu anajua wajibu wake? Na kama hajui viwanda vitapatikanaje na muda ndo huo 2020 ishakaribia?
Tujadili.