Hivi ni kweli "'Condom' zatumiwa na kufuliwa TZ"

Mr. SADC_TZ

Senior Member
Nov 7, 2014
106
22
Heti Wakuu humu ndani, kuna ukweli upi kuhuksu hii habari ya BBC.....!Mimi binafsi nilishindwa kutoa conclusion juu ya suala hili ...nipo kwenye Dillema so far.

Habari iliandikwa hivi:-
Nchini Tanzania kuna maeneo machache ambayo baadhi ya watu wake hawana uelewa thabit wa kutumia mipira ya kiume(Condoms) kiasi ambacho mpira mmoja unaweza kutumiwa na vijana watatu hadi wanne kwa kubadilishana baada ya kuusafisha na kuanika juani.
Hali hiyo imeelezwa kuwa chanzo kingine cha kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi.
Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza alitembelea wilaya ya Longido kaskazini mwa Tanzania kijijini Orglay na kuzungumza na mmoja kati ya vijana wa kijijini hicho.

LINK:- 'Condom' zatumiwa na kufuliwa TZ - BBC Swahili

 
ila idadi ya wanaokufa kwa ugonjwa wa
ukimwi ni ndogo
kulinganisha na idadi

ya vifo vitokanavyo na ajali!
 
Kuna mbunge sikumbuki vizuri jimbo lake aliwahi sema hayo yanatokea katika jimbo lake, nafikiri maeneo ya simiwi huko
 
Nikweli hata sehemu moja kigoma inayoitwa kagera nkanda , mtu anakodisha kondom geto kwake na wengine hutumia mifuko laini na mafuta ya mgand na mzigo unaliwa kama kawa.
Cha ajabu wakuu wengine hutumia vipurizo na kulainishia na mafuta ya mgando
 
Hata hii mifuko midogo plastic ya shs 50 bonge la dili sehemu nyingine maana jamaa anakuja kuazima hata kukodi ikibidi ndio maana wanaiita condom
 
Nikweli hata sehemu moja kigoma inayoitwa kagera nkanda , mtu anakodisha kondom geto kwake na wengine hutumia mifuko laini na mafuta ya mgand na mzigo unaliwa kama kawa.
Cha ajabu wakuu wengine hutumia vipurizo na kulainishia na mafuta ya mgando

Khaa!

kwani condom zinauzwa sh ngapi huko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom