Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Oil chafuMimi ccm ila nakujibu
1. Mtei
2. Lowassa
3. Kingunge
4. Sumaye
Nadhani nimekujibu mkuu
Oil chafuMimi ccm ila nakujibu
1. Mtei
2. Lowassa
3. Kingunge
4. Sumaye
Nadhani nimekujibu mkuu
Ulitaka tusi dogo?Aisee Hili ni tusi kubwa sana
Mzee ndani ya chadema ni Mbowe...Wakuu habari ya leo.?
Muda si mrefu nimemsikia rais mstaafu wa awamu ya nne JK akisema wale wenzetu hawana hata wazee.
hii kauli ina maana gani hasa?
Hapo ni mtei tu,kingunge hana chama,hao wengine hawana hadhi ya kuitwa wazee,ndio kwanza wanautaka uraisMimi ccm ila nakujibu
1. Mtei
2. Lowassa
3. Kingunge
4. Sumaye
Nadhani nimekujibu mkuu
Matusi siyo mazuriUlitaka tusi dogo?
Amekurupuka!Nakumbuka kuna wazee wa CDM walitumwa kwenda kuongea na Dr Slaa alipokaa kando!Wakuu habari ya leo.?
Muda si mrefu nimemsikia rais mstaafu wa awamu ya nne JK akisema wale wenzetu hawana hata wazee.
hii kauli ina maana gani hasa?
Mzee ni huyuWhat is the qualification ya kuitwa mzee hadi lowassa na sumaye wasiitwe wazee
My take to u kabombe
Don't relay on politics mapenzi infront of facts.
Nawasilisha