Hivi ni kweli anavyosema kipanya?

Ni kweli kabisa mkuu. Na hipo amekadiria tu ila idadi inaweza kuwa kubwa kuliko aliyoitaja.



Nakuunga mkono mkuu, katika nilichokishuhudia mimi kwa macho yangu kati ya mwaka 2003 mpaka 2006 inawezekana kabisa kuwa wanaomaliza darasa la saba ni 4 tu kati ya kumi wanaojua kusoma na kuandika na hawa sita waliobaki mh..
 
jana niliingia kwenye kahoteli flani kupata chakula..! nilishangaa sana kwamba nilihudumiwa na dada ambae hajui kusoma wala kuandika..! nilishangaa sana sana kuwa karne hii ya i-phone wewe hujui kusoma... wala kuandika sasa wewe utakua mgeni wa nani..!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…