Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
waswahili wanasema fanya makosa yoooooote lakini usikosee kuoa mke
ata kuolewa pia tusikosee
waswahili wanasema fanya makosa yoooooote lakini usikosee kuoa mke
So unfair...alafu na sisi tukifanyiwa hivyo tunalalamika!! BACK TO TOPIC...Ukiona hivyo ujue either hana uhakika kama anataka mahusiano yaliyo serious na wewe au tayari anajua ila bado anataka kukutumia!my last relationship nilikuwa nampendea hela tu,kumbe jamaa akawa amefia kikweli,.
Ndugu wanaJF kunadhana inapofikia kwenda kutambulishwa ukwen wanaume weng huwa wanapga chenga suala hili la kwenda kutambulishwa kwa wazaz au jamaa wa huyu mwanamke hv ni nini haswa kinachopelekea mpaka haya yote yanatokea au kunasababu zip mpka kupga chenga uwe umekaa nae mwanamke kwa muda au upo nae kwny mahusiano kwa muda ni nini haswa kinachokupelekea ukwepe utambulisho?
waswahili wanasema fanya makosa yoooooote lakini usikosee kuoa mke
Mwanaume kweli kama anakutaka yeye ndio anakuomba akajitambulishe,ukiona unapigwa chenga ujue imekula kwako.
my last relationship nilikuwa nampendea hela tu,kumbe jamaa akawa amefia kikweli,alivyoona namzungusha kwenda kujitambulisha,akaona isiwe tabu,nimeshtukia ameenda kujitambulisha mwenyewe, eti azuie nafasi isichukuliwe.
mpaka leo siamini kama niliweza kumkimbia yule psycho.
we jamaa siasa kwel okay hata kama umempata wa kuridhika na wewe inakuwaje uogope mana hapo ndo ninashndwa kuelewa yan kwel demu unampenda lakn inakuwaje uogope kutambulishwa?
Ndugu wanaJF kunadhana inapofikia kwenda kutambulishwa ukwen wanaume weng huwa wanapga chenga suala hili la kwenda kutambulishwa kwa wazaz au jamaa wa huyu mwanamke hv ni nini haswa kinachopelekea mpaka haya yote yanatokea au kunasababu zip mpka kupga chenga uwe umekaa nae mwanamke kwa muda au upo nae kwny mahusiano kwa muda ni nini haswa kinachokupelekea ukwepe utambulisho?
waswahili wanasema fanya makosa yoooooote lakini usikosee kuoa mke
Ishu inakuja kama jamaa alikuwa anasuuza rungu tu