FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,876
- 44,926
Kwani kuna ulazima gani yawe na rangi nyeupe, kwanini hayana rangi nyekundu, blue, au walau hata kijani?
Umemaliza Mkuu..Shahawa, mate, machozi na kinyesi vipi? Non sense
Navyo pia unaweza ukaviulizia kwa muda wako, jibu hili la maziwa kama una ufahamu, kama huna tuliaShahawa, mate, machozi na kinyesi vipi? Non sense
Mbona hakuna damu nyeupe, blue au rangi nyingine?Kwani kuna ulazima gani yawe na rangi nyeupe, kwanini hayana rangi nyekundu, blue, au walau hata kijani?
Unaweza ukauliza hili kwa muda wako, kwa sasa jibu hili la maziwa, kama hujui tuliaMbona hakuna damu nyeupe, blue au rangi nyingine?
Nmekuelewa tu ukipoandika kithwahili ila huko mwsho pamenishinda swaibaYaani mkuu una Akili za kuzindua vitu hizo sema zimezaliwa siko!!!inquisitive mind!!!
Vitu vingine ni nature yake. OverUnaweza ukauliza hili kwa muda wako, kwa sasa jibu hili la maziwa, kama hujui tulia
On the same nonsensical mode of thinking, tomato ingekuwa damu kisa ina rangi nyekundu?Yasingekuwa maziwa tena bali yangekuwa damu. Yaani wewe ma yule waziri hakuna tofauti ni bashite juu ya bashite
Then what is the nature of white in milk?Vitu vingine ni nature yake. Over
Google na weweThen what is the nature of white in milk?
NimekosaGoogle na wewe
Mkuu acha uvivu, au una google kwa kiswahili?Nimekosa