kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Ilikua zamani ila sasa ipo.sanaHata Kilimanjaro hapo haipo mbona
Ilikua zamani ila sasa ipo.sanaHata Kilimanjaro hapo haipo mbona
Hahaha ebhana wao wako majuu hukoSisi wa kwa mtogole tunawashangaa tu
Acha undezi... mbu walikiwepo na maralia ilikiwepo Dawa ya DDT ndio iliweza kufanya kazi 100% kutokomeza wadudu wengi wakiwemo mbu.. issue ikawa sumu ile Nyuki na wadudu wengine ambao ni faida kwa binadamu na mazao nao pia walikufa kwa wingi Africa tuliletewa na upingaji kama kawaida yetu wazungu wanataka kutuua... maana raia walishaanza kunyunyuzia kwenye mashamba yao ya kahawa,mahindi n.k sumu ile ni hatari balaa naikumbuka haswa DDT.Du!hakuna uhusiano wa maendeleo ya nchi na kuwepo kwa mdudu Mbu, simple explaination ya kwann Usa hakuna Malaria ni kwamba hakuna Vector wake ambaye ni Mbu kwakuwa mazingira ya Amerika hayaruhusu mbu ki survive nchi zilizo ktk ukanda wa kitropiki na zenye maendeleo makubwa km Brazil zina Malaria kama kawa na Zica juu.
Nisaidie undezi ndio nini km DDT ndio suluhisho kwani ilifeli Africa au ulikuwa hujazaliwa wakati dawa ya Ukoko ikipuliziwa Tz ,mbu anaishi kwenye mazingira ya joto joto USA hali yake ya hewa most of time baridi fala wewe,simu ya tecno smart unayo unashindwa hata ku Google ukapata taarifa !Acha undezi... mbu walikiwepo na maralia ilikiwepo Dawa ya DDT ndio iliweza kufanya kazi 100% kutokomeza wadudu wengi wakiwemo mbu.. issue ikawa sumu ile Nyuki na wadudu wengine ambao ni faida kwa binadamu na mazao nao pia walikufa kwa wingi Africa tuliletewa na upingaji kama kawaida yetu wazungu wanataka kutuua... maana raia walishaanza kunyunyuzia kwenye mashamba yao ya kahawa,mahindi n.k sumu ile ni hatari balaa naikumbuka haswa DDT.
Hiyo dawa ukiitumia hutokuta jani hata moja la mmea limeliwa na mdudu yeyote
Hata Marekani kuna maeneo Kama Jimbo la Arizona yana joto kali lakini bado hakuna Malaria,Malaria husababishwa na uchafu wa mazingiraMalaria ni tropical disease.
Malaria yapata Chanjo na WHO imeithibisha, utafiti ulianza mwaka 1980
Uingereza imefanikiwa kutengeneza chanjo ya Malaria ugonjwa unaosumbua sana Afrika. Majaribio ya Chanjo hii yalifanyika katika nchi tatu za Ghana, Kenya na Malawi ambapo watoto zaidi ya 800,000 wamechanjwa. Chanjo hii imelengwa maalumu kwa ajili ya Afrika hivyo nchi zote barani humo zitapatiwa...www.jamiiforums.com