nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Napenda kufahamu kwanini ofisi nyingi za Serikali wametoa namba za simu za mawasiliano kwa ajili ya huduma kwa wateja lakini hazipatikani hewani ukilinganisha na ofisi za binafsi.
Piga NIDA ndiyo komesha utalia!!Ulipiga wapi na sisi tujaribu kupiga