johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Nimeshangaa kusikia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeikopesha Serikali Shilingi billion 208 na hazijalipwa hadi Leo.
Inasikitisha sana.
Waziri husika ajitafakari kwa kweli.
Inasikitisha sana.
Waziri husika ajitafakari kwa kweli.