Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
1. Hapo ni Ipuli Tabora Manispaa (Mjini)Toa maelezo kidogo basi...
Asante kwa kutujibu hapo kwanza...
- Ni wapi hapo?
- Mwaka gani?
- watu walichangia kiasi gani?
- ni mradi wa serikali au chama?
- Nani aliweka pesa?
- Watu walishirikishwa katika kutafuta eneo na ku-design vibanda?
- Jumla ya pesa ilio patikana ilikua ni ngapi?
- zilitumiwa kwa vitu gani?
- Baada ya watu kuona soko hili walisemaje?
- wamechukua hatua gani?
consigliere kwani una ID zaidi ya moja?! Sikujua!
karibu uchangie ufahamu wako katika thread yangu ya Star TV.....