Hivi ndivyo tembo wanavyong'olewa pembe zao..

Hivi ndivyo tembo wanavyong'olewa pembe zao..

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,862
Wakuu.. hivi ndivyo tembo wanavyofanywa na maharamia.... imagine mateso anayoyapata...


1901124_593151774109900_1133861277_n.jpg
1912552_593151797443231_306959576_n.jpg


baada ya hapo.... pembe zinapakiwa kwa mauzo katika nchi za asia na kwingineko..

1947659_593151877443223_1154774477_n.jpg
 
Mleta hoja, mbona una mambo ya ajabu, ati wanapata mateso!! Au nimekusoma vibaya. Unadhani huwa wanang'olewa wakiwa hai??? Tembo hata akilipoteza jino kwa sababu yeyote huwa analizika kabisa huwazi kuliona weye. Ndo maana jangili akilitaka hamwombi au hambembelezi ili ampe bali anamtoa uhai kwanza halafu ang'oe kwa shoka. Hivyo usiseme Tembo anasikia uchungu, maiti hasikii uchungu tena. Hata akimwacha hapo kwa kuwaona maaskari, huyo maiti hana faida na meno yake tena.
Ndo maana twasema, Kukamata meno ya tembo tani elfu si hoja kwani tembo aliuawa ndipo jino likatolewa. Tuzuie ujangili kule mbugani sio kuzuia meno ya tembo yasiuzwe.
AK47 zilizo nunuliwa, hebu ziwafyeke majangili ili tembo wapone. Mbona hatujasikia hata mmoja aliyeionja AK47??? Nyalundu muhishimiwa, upo ofisini au upo Dodoma kwenye mchechetooooo
 
Yaani ingekuwa likikamatwa jangili linakatwa lips zote meno yanakuwa nje ili kila anaemuona anajua tu kuwa hili liliuwa tembo, pata picha kinana bila lips anakuaje.!?? Tyta lete picha.
 
Last edited by a moderator:
I support all mnaosema majangili wafyekwe hukohuko kimyakimya. Hapa hakuna cha kesi nikuwafyeka tu kimyakimya. Kama ni haki za binadamu pia na haki za wanyama zizingatiwe
 
Back
Top Bottom