Hivi ndivyo rais wa kwanza wa Zanzibar Mh. Abeid Karume alivyouawa



Serikali ya Zanzibar iliyopinduliwa haikuwa ya Sultan .. Hakuna serikali iliyopinduliwa Zanzibar. Kilichotokea ni uvamizi ulioongozwa na Nyerere akisaidiwa na vibaraka wake kutoka ASP na Umma party. Walimkamata Waziri Mkuu Muhammed Shamte ,aliyechaguliwa na wananchi, pamoja na mawaziri wake na kuwafunga katika magereza YA Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani, kabla hata ya huu uitwao Muungano haujafikiriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…