Hivi ndio Katiba inavyo toa uhalali?

Hivi ndio Katiba inavyo toa uhalali?

GHIBUU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
4,432
Reaction score
3,016
Leo hii nimeona habari huko tarime skuli au shule yakamilika kwa billion 1.7 na jina la shule ni Jk nyerere.
Hapa tz kila kiongozi akisimamia mradi anaandika jina lake, tumeona barabara, kuna Nyerere Road, Mkapa Road, Ali Hassan mwinyi Road, kuna hata mikopo ya wanafunzi ambayo inajulikana sijui membe scholarship, hata vyuo vikuu.

Hivi hii miradi ni kwa pesa zao au za wananchi? Nani anawapa mamlaka kuandika majina yao?

Tumechoka bwana kuwasikia majina yao kwa kutuwachia na umasikini, ulemavu kwa mateso ya dola ya ccm,uyatima, na tabu nyengine za ulimwengu.
 
Na mwisho wao ni 25 subiri waone nini kitakwenda kutokea
 
Mrisho mpoto hakuwa mjinga kudai pcha zetu zbandikwe kwenye hela ili wakizitumia watutumie na sisi kama wameshindwa trh 25/10 hiyoooo kwenye sanduku tukaadhibu kmyakmya
 
Back
Top Bottom