WaTz wakipewa elimu ya uraia kesho yake wataiondoa serikali madarakani. Hivo Lubuva hawezi kufanya jambo hilo.![]()
Someni wenyewe hawa jamaa juzi wamerudisha chenji ikulu kwa Rais kuwa zilizidi wala hazikuwa na kazi,
Leo wanasema hawakuwa na pesa ya kutosha kuelimisha wapiga kura,
Kuishi nchi hii ni kwa sababu hatuna jinsi tu
Haka kazee ka-jumanina sana! Sijui kwa nini MUNGU wa siku hizi hana hasira za enzi ya akina Musa. Mpaka leo eti kanaendelea kunyang'anyana hewa na sisi? Ningekuwa Magu kesho ningekatumbua!WaTz wakipewa elimu ya uraia kesho yake wataiondoa serikali madarakani. Hivo Lubuva hawezi kufanya jambo hilo.
cc: Lizaboni - ufafanuzi wako ni muhimu sana hapa![]()
Someni wenyewe hawa jamaa juzi wamerudisha chenji ikulu kwa Rais kuwa zilizidi wala hazikuwa na kazi,
Leo wanasema hawakuwa na pesa ya kutosha kuelimisha wapiga kura,
Kuishi nchi hii ni kwa sababu hatuna jinsi tu
Nafikiri hilo ndio la msingi.WaTz wakipewa elimu ya uraia kesho yake wataiondoa serikali madarakani. Hivo Lubuva hawezi kufanya jambo hilo.