Hiki chama kina ruzuku ya kila mwezi lakini hawafanyi harakati zozote kukitangaza chama chao matokeo yake chama chenye wabunge 4 kikapata mitaa 8 Tanzania nzima yaani wanashindwa hata na ACT Wazalendo.
Kwanini wasiige hata kwa wenzao CHADEMA ambao wametapakaa Tanzania nzima wanafanya harakati na kuelimisha wananchi, ruzuku yao wanaitumia kwa masuala yapi chakushangaza kwenye umoja wa UKAWA wamepewa na majimbo ya kusimamisha wagombea hayo majimbo bora yangeachwa CCM ipite bila kupingwa maana hiki chama hakina mipango madhubuti ya kuwaondoa CCM madarakani viongozi wa chama hiki hawana maono yoyote kwa kifupi wamechoka.
Kwanini wasiige hata kwa wenzao CHADEMA ambao wametapakaa Tanzania nzima wanafanya harakati na kuelimisha wananchi, ruzuku yao wanaitumia kwa masuala yapi chakushangaza kwenye umoja wa UKAWA wamepewa na majimbo ya kusimamisha wagombea hayo majimbo bora yangeachwa CCM ipite bila kupingwa maana hiki chama hakina mipango madhubuti ya kuwaondoa CCM madarakani viongozi wa chama hiki hawana maono yoyote kwa kifupi wamechoka.