Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

Mbona jamaa ni wa kawaida sana huyu.

Mzize ikitokea akapata timu nje ninadhani ndani ya miezi 6 watamrejesha Tz kwa mkopo
Kama ni Mpira ni lazima acheze nje "uwanjani" labda kama kuna mchezo wa kucheza ndani tu Mkuu.
 
Mpe mkeo acheze nae ndio utajua mzize ni mchezaji wa kawaida au ni wa namna gani????
 
Mbona jamaa ni wa kawaida sana huyu.

Mzize ikitokea akapata timu nje ninadhani ndani ya miezi 6 watamrejesha Tz kwa mkopo
Mbona hujatuambia kwa nini sio wa kucheza nje? Yaani unakuja na hisia tu halafu uzi umekwisha. Tuambie kwa nini?
 
Kama ameshindwa kuivusha Taifa stars CHAN ataweza huko nje okey wacha tubakize maneno
 
Mzize is overrated! Waarabu wangeenda kumweka benchi maana lengo lao ni kupunguza nguvu timu zetu, mchezaji chances kibao hata 1 hafungi
 
Mzize ni Boga, bora mbaķi naye nyie tu... !

Mkimuuza tu..anaenda kututia aibu WaTz.!
 
Mzize is overrated! Waarabu wangeenda kumweka benchi maana lengo lao ni kupunguza nguvu timu zetu, mchezaji chances kibao hata 1 hafungi
Alivokosa goli la wazi chan hakuna aliyemtaka tena! Mbona mayele anakiwasha piramid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom