Kwa njia ya roho mtakatifu inawezekana bana!.Anaweza kumpa mimba mwanamke?
.............nimeuliza tu!!
Preta preta!
Hebu elezea kidogo, akiwa hana nguvu za kiume anakuwaje? Aisimami au inasimama rojorojo au inasimama kwa machale?
Au kwa muda mfupi kama bata?
Naomba utupe hali ya huyo jamaa ako tupate ilimu.
Preta! We haya we! Usijekuniuliza ulikosea wapi. Nakukanya kaka yako!
Anaweza kumpa mimba mwanamke?
.............nimeuliza tu!!