Ndio maana nimeuliza mkuu, maana hii kauli leo tena nimeisikia toka kwa mwanamke ikiwa ni mwanamke wa 4 anajinasibu kuwa ni rijali, ndio nikawa najiuliza, mwanamke akijiita, 'mimi ni mwanamke rijali' anamaanisha nini na yukoje?Mbona unatumia tungo za kiume kwenye mambo ya kike?
Mwanamke rijali ndio namsikia leo. Du! !!!
Halali usiku na jinsiMwenye kuvumilia magumu yote mpaka akaifikia heri pasipo kukata tamaa
MhHalali usiku na jinsi
Ok,vp wwe .ni Rijali?Ana uwezo wa kuwa phucked na wanaume hata watano at the same time na akawamudu wote
Nisawa na kusema mwanamke mtanashati.....Wanabodi naomba mnieleweshe mwanamke akisema yeye ni mwanamke rijali anakuwa anamaanisha nini?
Hakuna mwanamke rijali bali kuna mwanamke shupavu.Wanabodi naomba mnieleweshe mwanamke akisema yeye ni mwanamke rijali anakuwa anamaanisha nini?
Ukijibiwa ntag chiefOk,vp wwe .ni Rijali?
mwanamke rijari ni yule ambaye akishikwashikwa kidogo ananyegeka K imelowa na ni yule ambaye hata akifika kwa kilele wakati mpenziwe bado hajakojoa haishiwi nguvu ni yule ambaye anaweza vumilia kashikashi za gori la piri mpk kidume chake kikojoe(nadhani unaufahamu mziki wa gori la piri) yaan ni yule ambaye ambaye mda wote k inalowa na marijari haswa ni wale ambao kadili unanvyopiga mashine WET CREAM(yale mavitu meupemeupe kunoga mterezo) yanaongezeka tu kadiri unavyopiga mashine