Hivi MUGABE ameshawi kupewa u-PHD? Nyerere je?

Hivi MUGABE ameshawi kupewa u-PHD? Nyerere je?

Mwenye kujua atusaidie jamani.

Naam wameshapewa na vyuo kadhaa......tofauti ni kwamba Nyerere alikuwa so content kuitwa Mwalimu badala ya H.E Dokta Nyerere.

Ila nyakati zimebadilika maana rais anaweza kujikuta mawaziri wote ni madokta hivyo kuondoa unyonge si haba kusikia rais nae anakuwa dokta.
 
Mwenye kujua atusaidie jamani.

Watu ambao wamesoma on their own right na kufaulu vizuri huwa hawakubali kupewa ujinga ujinga kama huo, kwa sababu wanafahamu maana yake. Waliosoma kwa kugongewa na kubebwa na mbeleko kwenye usomi wao hawana aibu kukubali huo upuuzi.
 
Zuzu unafurahia kuitwa Dr, wenzio wanaondoka na gesi, dhahabu na uranium kiulaiiini. Mugabe ana digrii saba za kusomea ndiyo sababu wazungu wanamgwaya.
 
Mmmmh! kwani nn? aliyepewa si ni mtz? Bongo ndivyo maisha yalivyo. Hatuthamini vitu kama elimu. Hivyo acha liende, tutafika.
 
kweli niliwahi kusikia kuwa Babu ana degree saba lakini sikuamini
Mimi ninamuona kichwa kweli kwani mie hiyo nusu degree sina seuze sekondari nilikuwa nikiisikia kwenye bomba tu
Zuzu unafurahia kuitwa Dr, wenzio wanaondoka na gesi, dhahabu na uranium kiulaiiini. Mugabe ana digrii saba za kusomea ndiyo sababu wazungu wanamgwaya.
 
sikumbuki chuo wala mwaka ila mugabe amewahi kutunukiwa phd na chuo flan cha scotland na baadaye walimnyang'anya alipoingia ktk mgogoro na walowezi wa kiingereza nchini mwake
 
Mugabe kichwa. Wazungu wenyewe wanamgwaya vibaya mno.
 
nenda wikipedia ucheki elimu ya mugabe. usipompigia saluti we mchawi. jamaa ana digriz cjui sita...
 
Bwana Mugabe hakubali degree za kuchonga ili uone wanakuthamini uwauzie nchi yako kwa bei ya kutupwa,yuko kwenye uongozi sababu anawatetea Wazimbabwe dhidi ya ukandamizaji wa wazungu,ndio maana Wazimbabwe wanamkubali wanataka afie kwenye kiti akiwa bado ni rais wa Zimbabwe,hakubali kununuliwa kirahisi kama hawa viongozi wetu,
Angalia hao hao waCanada ndio wamechukua dhahabu ya Tanzania kwa bei ya kutupwa na kutuachia mashimo makubwa ambayo hatujui yatazibwa na nini,siku hizi hadi mchanga wanachukua kwamba wanaenda kuupima kama una madini Ajabu,tuma madini ya kila aina lakini Watanzania ndio masikini wa kutupwa wakati viongozi wanapewa degree za ajabu ajabu kwa mchango upi alioutoa kwa wananchi wake kama hajui ni kwa nini anaowaongoza ni masikini kiasi hicho,ila anawatajirisha Wazungu

Subirini na China nao watataka kumpa degree ya PHD kabla hajastaafu kwa kuwapa miradi mingi Tanzania

Tumeshauzwa woote,tuna raslimali nyingi hapa nchini,madini ya kila aina,mbao,wanyama,vivutio vingi vya utalii,ardhi nzuri lakini Watanzania ni maskini wa kitupwa eti kuna slogan inasema

TUMEWEZA,TUMETHUBUTU NA SASA TUNASONGA MBELE,tunasonga mbele kwenda wapi? Kufanya nini mara NGUVU MPYA ARI MPYA NA KASI MPYA siku hizi wala haisikiki tena watu wameshajitajirisha kwa nguvu,kasi na ari mpya halafu mnawadanganya Watanzania?

MTANZANIA INATOSHA HAPA TULIPOFIKISHWA TUCHUKUE HATUA,
 
He was on the short list for the 1981 Nobel Peace Prize in 1981.
 
sikumbuki chuo wala mwaka ila mugabe amewahi kutunukiwa phd na chuo flan cha scotland na baadaye walimnyang'anya alipoingia ktk mgogoro na walowezi wa kiingereza nchini mwake

Alipokonywa PhD au Knighthood?
 
sikumbuki chuo wala mwaka ila mugabe amewahi kutunukiwa phd na chuo flan cha scotland na baadaye walimnyang'anya alipoingia ktk mgogoro na walowezi wa kiingereza nchini mwake
Usemayo ni kweli MUGABE ni msomi wa ukweli sio wakubahatisha na amesoma vitu vingi tena katika nchi zao wakafahamu atakuja kuwapigia magoti kama hawa wengine wanavyofanya yeye akabadilika na amewaonyesha kwamba yeye anajua hebu fikiri kama ingekuwa Tanzania tumewekewa vikwazo vya kiuchumi kama yeye maisha yangekuwaje?
 
Mmmmh! kwani nn? aliyepewa si ni mtz? Bongo ndivyo maisha yalivyo. Hatuthamini vitu kama elimu. Hivyo acha liende, tutafika.

acha utani ndugu tunadhamin sana elim lakn vkwazo!mwenzio na sisi 2tatafuta rasilimali za kubadili na phd teh teh teh.naptA*
 
Mugabe kwa vyeti ni nouma...! kuna kipindi alikuwa anaongoza afrika kwa kuwa na vyeti vingi vya degree achilia mbali vya kupewa(vya heshima),sina uhakika kwa sasa nani anaongoza...! Lakini Mugabe Salute....!
 
Tumeweza,tumethubutu na sasa tunasonga mbele=tumethubutu,tumeshindwa,tujipange upya
 
Kwa mujibu wa VOA (voice of america) bw. Mugabe anazo degree SABA za kusomea na KUMI NA SITA za heshima.
 
Back
Top Bottom