Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry hata kwa chuo cha private?
O'level
Physics- D
Chemistry- D
Biology- C
English- C
B/Maths- F
Advance
Geog- "B"
Chemistry- C
Biology- "B"
BAM- F
Na ikitokea kwa mfano chuo kikakutaarifu umechaguliwa kujiunga katika chuo husika ila unakuwa umepungukiwa na sifa moja katika yale masomo yanayohitajika na programu uliyoiomba, maamuzi ya NACTE yanakuwaje juu ya hilo?
O'level
Physics- D
Chemistry- D
Biology- C
English- C
B/Maths- F
Advance
Geog- "B"
Chemistry- C
Biology- "B"
BAM- F
Na ikitokea kwa mfano chuo kikakutaarifu umechaguliwa kujiunga katika chuo husika ila unakuwa umepungukiwa na sifa moja katika yale masomo yanayohitajika na programu uliyoiomba, maamuzi ya NACTE yanakuwaje juu ya hilo?