Hivi mtu anakunyimaje Amani

Hivi mtu anakunyimaje Amani

Inashangaza.

Yaani kuna mtu ambaye nikimuona nashindwa kuongea nashindwa kufanya nachofanya, nashindwa kila kitu, wakati hajanikosea wala sijawahi kumkosea sasa hii sijui hii imekaaje?

Wadau.

Mahaba nivurugee... mahaba nichangayee.... mahaba nipotezee hii ndio maana yake
 
Hebu funguka zaidi, unashindwa kufanya mambo yako kutokana na hisia za mahaba niue au chuki au kichefuchefu tu ukimuona?
 
Hebu funguka zaidi, unashindwa kufanya mambo yako kutokana na hisia za mahaba niue au chuki au kichefuchefu tu ukimuona?

Yaani najikuta natetemeka hata sauti haitok
 
Back
Top Bottom