Inashangaza.
Yaani kuna mtu ambaye nikimuona nashindwa kuongea nashindwa kufanya nachofanya, nashindwa kila kitu, wakati hajanikosea wala sijawahi kumkosea sasa hii sijui hii imekaaje?
Wadau.
Anaenikosesha amani ni she.
Mimi ni Man!
Yaani najikuta natetemeka hata sauti haitok