Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,662
Sitashau usiku mmoja nikiwa Stockholm, Sweden, Mr Nice alikuwa anashow moja hivi. Kwa kukumbuka sana nyumbani na enzi hizo napenda sana mziki wa Bongo, ukijumlisha na umaarufu wa Mr. Nice wakati huo, nikajiamusha kwenda kwenye hiyo show. Balaa tupu Mr. Nice alikuwa akivutwa na wanawake, wengine hadi walitaka kuvua nguo watiane naye hadaharani, si wazungu wala waafrika, check .
Hivi Mr. Nice uchawi wake ulikuwa wa wapi? Na siku hizi nasikia amefilisika vibaya. Kama ni kweli nitaamini uchawi upo, na kuna jamaa anadai alikuwa anatumia hirizi moja matata kutoka Congo, wanawake wakimwona hivi vinembe vinavimba karibia kupasuka.
Jamani tuache kutumia uchawi kuvutia wanawake, ndio maana ukikatika unakimbiwa na mwanamke.
Kuku kapanda baiskeli.,,,,,,,,,,,????
Hivi Mr. Nice uchawi wake ulikuwa wa wapi? Na siku hizi nasikia amefilisika vibaya. Kama ni kweli nitaamini uchawi upo, na kuna jamaa anadai alikuwa anatumia hirizi moja matata kutoka Congo, wanawake wakimwona hivi vinembe vinavimba karibia kupasuka.
Jamani tuache kutumia uchawi kuvutia wanawake, ndio maana ukikatika unakimbiwa na mwanamke.
Kuku kapanda baiskeli.,,,,,,,,,,,????