Huwa naona usukumani wakikoboa mpunga mabaki yale yamelundikwa bila kazi. Ila leo nimemsikia Waziri wa Kilimo akisema watu wasiuze nje ya nchi mpunga waukoboe ili wapeleke mchele na wabaki na mashudu.
Huwa naona usukumani wakikoboa mpunga mabaki yale yamelundikwa bila kazi. Ila leo nimemsikia waziri wa Kilimo akisema watu wasiuze nje ya nchi mpunga nje waukoboe ili wapeleke mchele na wabaki na mashudu
Hivi mnaelewa mnachokiongelea nyie mbwiga? Tangu lini mpunga ukawa na mashudu? Mpunga una pumba tu hakuna kitu inaitwa mashudu hapo! Mashudu yanatokana na mbegu za mafuta, kama vile pamba, alizeti, karanga, ufuta, korosho, nazi, n.k. mara baada ya kukamuliwa mafuta. Pengine hata mahindi yanaweza kutoa mafuta maana huwa yanakamuliwa mafuta pia! Pumba laini (rice polishing) ndo hutumika kulishia mifugo na lile gamba la juu (rice husks) hutumika kuchomea matofari huku Usukumani au kuwekwa kwenye mabanda ya kuku na kuwa mbolea safi kabisa mara yanapozolewa kutoka kwenye mabanda hayo!
Huwa naona usukumani wakikoboa mpunga mabaki yale yamelundikwa bila kazi. Ila leo nimemsikia waziri wa Kilimo akisema watu wasiuze nje ya nchi mpunga nje waukoboe ili wapeleke mchele na wabaki na mashudu
Mkuu na mie nilimsikia alijing'ata kwanza ndo neno mashudu likamjia. Mabaki ya mpunga yanaitwa pumba ila mashudu ni ya pamba. Watanzania wapo makini sana siku hizi viongozi wajipange wanapotoa maelezo
Huwa naona usukumani wakikoboa mpunga mabaki yale yamelundikwa bila kazi. Ila leo nimemsikia waziri wa Kilimo akisema watu wasiuze nje ya nchi mpunga nje waukoboe ili wapeleke mchele na wabaki na mashudu