kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Leo nilikuwa zangu uko Facebook si ndo nikakutana na post hii. Naona watu wanalalamika na sio hiyo tu ni post nyingi nimekutana nazo za kuhusu huyu Moise Katumbi
Watu wanalalamika kwanini Moise Katumbi yupo kimya kwenye suala hili la vita vya Kongo na Rwanda
Watu wanauliza kwanini yupo kimya kiasi hiki hasikiki wala kutoa kauli yake kutetea wananchi wa Congo
Kwani huyu Moise Katumbi nani hasa kule Congo?
Watu wanalalamika kwanini Moise Katumbi yupo kimya kwenye suala hili la vita vya Kongo na Rwanda
Watu wanauliza kwanini yupo kimya kiasi hiki hasikiki wala kutoa kauli yake kutetea wananchi wa Congo
Kwani huyu Moise Katumbi nani hasa kule Congo?