Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Hadi report ya CAG inatoka tayari Chadema walishajua wamepata hati gani lakini wamekaa kimya, ikisemwa Bungeni wanakuja kulalamika sijui tunaonewa sijui Nini?
Tuelezeni wananchi mlivyomalizana na CAG kabla huko Bungeni awajaanza kuwapopoa mkakosa wakuwasemea. Kumbukeni hii report uwa inaingizwa bungeni nakujadiliwa japo kibongobongo spika anaweza itia kapuni akiona haipi yeye na chama chake agenda zakujimwambafai. Nakumbukeni mna Mbunge mmoja tu bungeni,, tuambieni mmepata hati gani?
Tuelezeni wananchi mlivyomalizana na CAG kabla huko Bungeni awajaanza kuwapopoa mkakosa wakuwasemea. Kumbukeni hii report uwa inaingizwa bungeni nakujadiliwa japo kibongobongo spika anaweza itia kapuni akiona haipi yeye na chama chake agenda zakujimwambafai. Nakumbukeni mna Mbunge mmoja tu bungeni,, tuambieni mmepata hati gani?