tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
Wakuu,me sijui nina ugonjwa gani!siwez kuwa na mwanamke mmoja tukadumu hata miezi mitatu ntamchoka tu.
Sasa nawashangaa wanaume wenzangu mliooa,mnawezaje kupika na kupakua na mtu mmoja huyo huyo maisha yenu yote?hivi huwa hamkinai kulala na mtu mmoja mwenye ladha ileile siku zote?
Asanteni!
Sasa nawashangaa wanaume wenzangu mliooa,mnawezaje kupika na kupakua na mtu mmoja huyo huyo maisha yenu yote?hivi huwa hamkinai kulala na mtu mmoja mwenye ladha ileile siku zote?
Asanteni!