Hivi mimba ya kwanza ina matatizo gani?

Hivi mimba ya kwanza ina matatizo gani?

Nimkimbilie nani

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
6,217
Reaction score
6,570
Habarini wana bodi,
Kwa wale wazoefu wa ndoa je hii hali mshakutana nayo, Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia wanaume wakilalamika kuhusu kutokuwa na maelewano mazuri na wake zao pindi wawapo wajawazito hasahasa mimba ya kwanza je, ni kweli kuwa mwanamke anaposhika mimba ya kwanza anakuwa mkali lakini pia ana tabia ya kumkasirikia mmewe na hata watu aishio nao??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakuja

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Umeshashuhudia na nafikiri umeona wanakuwaje baada ya kuzaa. Nini tena unataka kujua haswa!? Ila kila mwanamke inakuwa kivyake iwe ya 1,2,3,..
Wengine hawawi kabisa uliyoandika kwa mimba zote wanazobeba. Ubosi pia ujaa wengi.. eeeh
 
Umeshashuhudia na nafikiri umeona wanakuwaje baada ya kuzaa. Nini tena unataka kujua haswa!? Ila kila mwanamke inakuwa kivyake iwe ya 1,2,3,..
Wengine hawawi kabisa uliyoandika kwa mimba zote wanazobeba. Ubosi pia ujaa wengi.. eeeh
Kwa nini iwe hivyo?
 
Si wanawake wote hali hii huwapata,lakini kikubwa ni sababu za kibailojia ambazo hutokea kwa baadhi ya wanawake pindi wanaposhika ujauzito.Mie mke wangu alipokuwa na ujauzito wa kwanza alikuwa na tatizo la kuchukia harufu ya pafyumu zangu but hakunichukia mie kamwe.So mabadiliko ya tabia kwa wanawake kipindi cha ujauzito ni hali ya kawaida although sometimes ni changamoto pia kwa upande wetu wanaume.
 
Back
Top Bottom