Hivi mh. Mbowe umeturogea wapi wanaCHADEMA

Hivi mh. Mbowe umeturogea wapi wanaCHADEMA

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,056
Reaction score
1,867
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
M4C Pamoja Daima...dadeki!
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
Wewe kwa taarifa yako umelogwa na CCM ambayo inapiga EPA lakini bado unakomaa nayo
 
ha ha mtakoma si mlihoji ruzuku inafanya kazi gani ikifanya kazi mnalalamika eti wanajipa posho hiyo ndo chadema m4c pamoja daima mbele kwa mbele
 
Nape Na Kinana wanapozunguka nchi nzima huko siyo kupiga hela? Unataka kutuambia wanaishia kula ugali Na kunywa kahawa vijiweni?
 
Mkuu kile chama ni cha mtu halafu wewe unahoji kama nani wenzako wanafanya biashara halafu wewe ukahoji ili iweje acha wafanye biashara zao bana.
 
ha ha mtakoma si mlihoji ruzuku inafanya kazi gani ikifanya kazi mnalalamika eti wanajipa posho hiyo ndo chadema m4c pamoja daima mbele kwa mbele
Mkuu sabodo alitoa milioni mia akawapa chadema ili wajenge visima vya maji hivi hizo pesa zilipolea wapi make hatujaona kisima hata kimoja kikichimbwa.
 
Hoji uitwe msaliti! Kuna wakohoji hapo tena! Ukijifanya mbishi zaidi ana Ku-Chacha Wangwe.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Mbowe yupo kwenye mavuno wengine wanadhani anafanya siasa kumbe yupo na hesabu zake za kibiashara zikikamilika anajikata zake.
 
Mkuu sabodo alitoa milioni mia akawapa chadema ili wajenge visima vya maji hivi hizo pesa zilipolea wapi make hatujaona kisima hata kimoja kikichimbwa.

Inaelimisha Watanzania. ccm pesa za ufisadi wa rada mmepeleka wapi?
 
Juzi mwenyekiti wetu wa taifa mh.Mbowe ametangaza operesheni ya wiki mbili ya operesheni pamoja.inajulikana wazi kwamba operesheni hiyo itanufaisha viongozi wachache wa juu wa chama.na sisi kama wanachama hatuwezi kuhoji.sasa sielewi hatuhoji kwa sababu ya mapenzi ya kupindukia ya chama au viongozi wa juu wa chama akiwemo mwenyekiti ameturoga.Najua nitatukanwa matusi mengi kutoka kwa wanachadema wenzangu kwani sisi tunajulikana kwa hilo.jamani wanachadema tubadilike tuhoji matumizi mabovu ya fedha za ruzuku.
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
Kahoji ssssm tembo , magamba, chenji ya rada
 
Mbowe is simply irresistible kwenye siasa pamoja na flaws zake.
 
Mbowe yupo kwenye mavuno wengine wanadhani anafanya siasa kumbe yupo na hesabu zake za kibiashara zikikamilika anajikata zake.

Na bado mtaweweseka sana buku 7 United a.k.a Lumumba F.c
 
sasa haendi DUBEI tena..uingereza kwa kwenda mbele ngja azikusanye kwanza.
 
Badili tittle andika HIVI MBOWE AMEWALOGEA WAPI WANACCM A.K.A MAGAMBA YALIYO WANG'ANG'ANIA KUVUKA.
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
Umeambiwa M4C Pamoja Daima itagharimu karibu mia tisa million huku Ruzuku ambayo chama kinapata ni kama mia mbili kwa mwezi, kwa nini usiwapongeze viongozi wa chadema kuwa ni wabunifu wa kutafuta raslimali za kuendeshea chama ?
 
Ndo maazimio ya kikao cha gafla cha jana naona mmekuja na mapumba tele asubuhi, mbowe hachafuki hata kwa bei yoyote, m4c daima
 
Haina shida! sisi tunamwelewa sana, Demokrasia ni gharama sana!
 
Back
Top Bottom