Hivi mbona sisi wanadamu hatuna mikia eti?

Hivi mbona sisi wanadamu hatuna mikia eti?

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
12,940
Reaction score
38,037
Ukiangalia viumbe wote na jamii yote wana mikia isipokuwa sisi tu,jamii ya ndege wote wanamikia jamii ya wadudu wote wana mikia, jamii ya wanyama wote wana mikia isipokuwa wanadamu tu why?
 
ukiangalia viumbe wote na jamii yote wana mikia isipokuwa sisi tu,jamii ya ndege wote wanamikia jamii ya wadudu wote wana mikia, jamii ya wanyama wote wana mikia isipokuwa wanadamu tu why?

Wewe sisi tumeumwa kwa mfano wa Mungu
 
mbona tunayo labda ww tu.hembu kwanza nikuulize,we ni me ama ke?
 
Ukiangalia viumbe wote na jamii yote wana mikia isipokuwa sisi tu,jamii ya ndege wote wanamikia jamii ya wadudu wote wana mikia, jamii ya wanyama wote wana mikia isipokuwa wanadamu tu why?

Unayo! ila hujitambui.
 
Simbilisi hana mkia,kina dada wanao mikia ya kondoo na wanaume wana mkia wa mguu wa mtoto na bamia.
 
Ukiangalia viumbe wote na jamii yote wana mikia isipokuwa sisi tu,jamii ya ndege wote wanamikia jamii ya wadudu wote wana mikia, jamii ya wanyama wote wana mikia isipokuwa wanadamu tu why?

Unauhakika Kuwa Huna Mkia? Kizibacho PAPUCHI au KIGEGEDIO Ndiyo Mikia Yenyewe Hiyo!
 
binadamu ana mkia....in short kila kiumbe chenye uti wa mgongo kina mkia ie mkia ni mwisho wa uti wa mgongo,tofauti ni urefu ukilinganisha na wanyama
 
Heee mikia si mnayo kwa mbele na nyuma mnataka iwepooo eeee
 
cheki uyo na mkia [video]http://youtube.com/watch?v=9hxPWpr9k6U[/video]
 
Back
Top Bottom