Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,105
- 2,499
Habari zenu wana-MMU?
Kuna kitu nataka nifahamu kuhusu hili sijui niite kasumba...
Yaani mtu(mwanaume) anawasiliana na demu kwa njia ya simu, demu anatengeneza mazingira ya mwanaume aongee zaidi kuliko yeye, mwanaume akimtegea demu aongee anakuwa kimyaa haongei mpaka mwanaume akimshtua ndo anajibu na kusema "Niambieee" ili mwanaume aongee.
Hivi hii inaashiria nini?
Sijui kama mmenipata...!
Kuna kitu nataka nifahamu kuhusu hili sijui niite kasumba...
Yaani mtu(mwanaume) anawasiliana na demu kwa njia ya simu, demu anatengeneza mazingira ya mwanaume aongee zaidi kuliko yeye, mwanaume akimtegea demu aongee anakuwa kimyaa haongei mpaka mwanaume akimshtua ndo anajibu na kusema "Niambieee" ili mwanaume aongee.
Hivi hii inaashiria nini?
Sijui kama mmenipata...!